Magufuli anasalitiwa

Hii empty set ilioandika huu uzi imejidhalilisha kweli, marehemu yuko kabulini anasalitiwaje? Haki walionyanyaswa na Sabaya zisipatikane ? Walionyanyaswa hawana haki Sabaya ndio ana haki ? Yaliyokuwa yananufaika na ujambazi wa Sabaya utaziona tu nyuzi zao .
 
Hata mungu wao angekuwa hai kuna siku angeburuzwa jela aishukuru corona imetenda haki
 
Msije kusema Makonda, Byakanwa, Mnyeti, Gumbo na wahuni wengine walikuwa wana mapinduzi.
 
Poleni sana. Mama weka kigogo sukuma twende
Nalog off
 
duh kweli hichi kimbuwembwe...!
and now naamini jina la mtu mara nyingi linaakisi ubongo wa mtu
 
Naona Mnyeti ameanza kujisafisha
 
Hao kina lissu saanane gwanda ndio hao hao mnawataja kila siku. Pambafu zako. Kwani hao vibaraka wa barrick ndio nani? Utasikia azory gwanda sijui lissu risasi 40. Tukiwaambia nchi ilikua chini ya mwanamapinduzi wala kasuku kama wewe huwezi elewa. Tukikwambia nchi ilisonga mbele huwezi amini. Hata world bank na ifm vyombo vyenye kudhibitiwa na mabeburu mnaowasujudu watu kama wewe vilikubali.
 
Unaongea utopolo gani?
Mlipiga hatua zipi? Acheni upumbavu wakati kwa makusudi kabisa mliumiza watu bila kuwa na huruma. Acheni dawa iwaingie sasa. Kama mnaweza kamuamsheni Magufuli aje awatetee wauaji wakubwa nyie mnaotoa roho za watu kujifanya wazalendo.

Eti vibaraka wa Barrick, si mngeinyima usajili hiyo kampuni kama ilikua ya kinyonyaji? Kwani walioingia nao mikataba ni akina Lissu?
 
Mhhh unataka tuishi chini ya kivuli cha marehemu kweli
 
wajane hamtoacha kuteseka shujaaa wa kizaman ndio ameshasepa
 
Wadau tupeane connection, hii kazi ya kumtetea Sabaya inaonekana inalipa sana.

Haiwezi kuwa bure
 
 
Hivi kweli kwa akili ya kawaida na vidhibitisho vyote kuhusu matendo ya Sabaya kuna mtu anasimama anamtetea kweli??? Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…