Magufuli anapogeuka mtetezi wa mafisadi

Magufuli anapogeuka mtetezi wa mafisadi

Like it or not hapa ni kuishiwa substantive argument. And Iam wondering, kwani kukaa kimya ni dhambi!!
Toa argument yako kuonyesha udhaifu wa hoja yake, wenye akili wameelewa kwa maana ufisadi mkubwa umefanywa na waliokuwa madarakani na yeye ameapa kuwalinda. Nadhani anayetakiwa kukaa kimya ni wewe. Kwa nini wanafiki wanaojipendekeza mmekuwa wengi kiasi hiki?
 
Anayelinda ni mwenye dola wewe usiyetumia akili, bila polisi, mahakama utamlinda mtu? Hicho kiungo unachotumia kufikiria nina wasi wasi nacho, teuzi za u DC bado hazijatoka nini?
mbona hata sisi tunamlinda tuliyemwita fisadi hamna tatizo
 
Mwenye mamlaka kwa maana mwenyekiti wa baraza la mawaziri, amiri jeshi mkuu ni Waziri mkuu au rais? Unafiki unawafanya muonekane WAPUMBAVU
Umesahau kumtaja na lowasa na sumaye, wote watendaji wakuu katika huo uongozi but sinnce walipotoka huko naona ufisadi umewaisha
 
Mbona Na sisi ukawa tunamlinda kwa nguvu zote Yule tuliezunguka tukimtangaza n fisad papa
Hizo nguvu za kumlinda fisadi UKAWA wanazitoa wapi. Unajua nguvu alizonazo Rais wa nchi hii. Anaweza kuamuru viongozi wote wa UKAWA kuswekwa ndani ni ikawa hivyo. Anaweza kuamuru wana chama wote wa CCM wampigie magoti na kumlamba miguu na ikawa hivyo.
 
Back
Top Bottom