mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,038
Mi kwa kweli sijaelewa tatizo la ilani za vyama liko wapi!kwani matatizo ya watanzania ambao kama chadema au Chama chochote kilichoweka mgombea wa Urais wakipata madaraka matatizo yanatatuliwa kwa kulenga uanachama na wale ambao si wanachama wa hicho Chama wanaendelea kubaki na shida zao au inakuwaje?