technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,647
- 58,452
Wanawake wa nchi hii wamemkosea Nini Rais wao mpendwa?
Maana Kama mnakumbuka aliwahi kumwambia mwanamke kwamba
"Wewe mama unataka kupanuliwa wapi?" Kwamba mbona barabara ipo?.
Leo tena akiwa Nyamikoma mkoa wa Simiyu jimbo la Busega Kuna mwanamke amejitokeza kutaka kutoa kero yake ila ameishia kudhihakiwa.
Nanukuu ," Mama usinihalibie mkutano hayo unayotaka kuyaongea hapa kamwambie mmeo si unaye"
Rais wa nchi anaweza kuongea mbele ya watu lugha za kuudhi Kama hivi kweli?
Halafu watu wale wale wamchague?
Wanawake wa Tanzania hivi mmemkosea nini rais wenu Magufuli.?
Maana Kama mnakumbuka aliwahi kumwambia mwanamke kwamba
"Wewe mama unataka kupanuliwa wapi?" Kwamba mbona barabara ipo?.
Leo tena akiwa Nyamikoma mkoa wa Simiyu jimbo la Busega Kuna mwanamke amejitokeza kutaka kutoa kero yake ila ameishia kudhihakiwa.
Nanukuu ," Mama usinihalibie mkutano hayo unayotaka kuyaongea hapa kamwambie mmeo si unaye"
Rais wa nchi anaweza kuongea mbele ya watu lugha za kuudhi Kama hivi kweli?
Halafu watu wale wale wamchague?
Wanawake wa Tanzania hivi mmemkosea nini rais wenu Magufuli.?