Magufuli ana shida gani na wanawake?

Magufuli ana shida gani na wanawake?

Wanawake wa nchi hii wamemkosea Nini Rais wao mpendwa?

Maana Kama mnakumbuka aliwahi kumwambia mwanamke kwamba

"Unataka kupanuliwa wapi?" Kwamba mbona barabara ipo?.

Leo tena akiwa Nyamikoma mkoa wa Simiyu jimbo la Busega Kuna mwanamke amejitokeza kutaka kutoa kero yake ila ameishia kudhihakiwa.

Nanukuu ," Mama usinihalibie mkutano hayo unayotaka kuyaongea hapa kamwambie mmeo si unaye"

Rais wa nchi anaweza kuongea mbele ya watu lugha za kuudhi Kama hivi kweli?

Halafu watu wale wale wamchague?

Wanawake wa Tanzania hivi mmemkosea nini rais wenu Magufuli.?
Madhara ya kuongozwa na vilaza huwa yanamgusa kila mtu
 
Wanawake wa nchi hii wamemkosea Nini Rais wao mpendwa?

Maana Kama mnakumbuka aliwahi kumwambia mwanamke kwamba

"Unataka kupanuliwa wapi?" Kwamba mbona barabara ipo?.

Leo tena akiwa Nyamikoma mkoa wa Simiyu jimbo la Busega Kuna mwanamke amejitokeza kutaka kutoa kero yake ila ameishia kudhihakiwa.

Nanukuu ," Mama usinihalibie mkutano hayo unayotaka kuyaongea hapa kamwambie mmeo si unaye"

Rais wa nchi anaweza kuongea mbele ya watu lugha za kuudhi Kama hivi kweli?

Halafu watu wale wale wamchague?

Wanawake wa Tanzania hivi mmemkosea nini rais wenu Magufuli.?
Atachaguliwa tena Kwa kura nyingi sana kaa Kwa kutulia utaona
 
Lissufobia hiyo.

Mtu asiyependa kupingwa huhatarisha moyo wake. Atapata tabu sana.
 
We si mwanamke aisee??!!! 😲. Acha ku support vitu vya kijinga. Mtu akikudhalilisha hata km ni baba yako unatakiwa useme.
Ni km Gwajima jana alivyomdhihaki bi kidude sio kabisa. Anamuita Halima mdee yule bi kidude. Meaning marehem bi kidude ni mtu wa aina flani.
Nyie ndio mnabakwa na watu wenu wa karibu na kunyamaza

Sawa mwanamke wewe.. ya uchungu yako.. hayo ya kwenu huko wakaa.. pole saka musahada.. ya kuniwekea mineno michafu.. mudomoni yapnyesha ai kyu yako chini na ovyo.. lia pokea hizi.. 💉💉💉💉
 
Sawa mwanamke wewe.. ya uchungu yako.. hayo ya kwenu huko wakaa.. pole saka musahada.. ya kuniwekea mineno michafu.. mudomoni yapnyesha ai kyu yako chini na ovyo.. lia pokea hizi.. 💉💉💉💉
Jamani nimejibiwa moja ya msg zangu hapo juu. Naombeni mnitafsirie huu ujumbe wangu.
Mi nimeambulia sindano nne tu hapo. Sasa sijui ni dozi hii napewa.
 
Jamani nimejibiwa moja ya msg zangu hapo juu. Naombeni mnitafsirie huu ujumbe wangu.
Mi nimeambulia sindano nne tu hapo. Sasa sijui ni dozi hii napewa.
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ningekuwa mimi huyo mama saizi ningekuwa rumande maana hata mimi sichelewi kupanick nikitukanwa walahi ningemrudishia maneno yake
 
Ningekuwa mimi huyo mama saizi ningekuwa rumande maana hata mimi sichelewi kupanick nikitukanwa walahi ningemrudishia maneno yake
😃😃😃 Leo wakati jiwe anatema cheche akasema mchagueni mnaemchagua lkn tusilaumiane. Kuna jamaa mmoja kwenye crowd akasema SAWA.
Dah Magu kakasirika. Kasema wee sema tu sawa msije kunilaumu.
Wazee wa suti nyeusi nadhani wata revist ile recording maana kuna watu kadhaa wa kuwashuulikia.
 
Rais anatakiwa awe na maadili ya mfano..
Lissu atosha!!
 
Back
Top Bottom