Mkuu, Mtanzania anayejali watoto wadogo na unajua maana fika zinazo husu athali za kisaikolojia zinazo ambatana na ku abuse sexually watoto wadogo hawezi kuwa na ubavu wa kumtetea huyo Babu SEYA, huyo Mkongo na watoto wake ni ma MONSTERS wanapaswa kufungwa maisha, hukuna mahakama yoyote hapa Duniani inaweza kuwa set free, Watanzania tusiwe tuna watetea binadamu ambao hawana mahadili.Safi sana Magufuli ukitoka hapo mpe msamaha BABU Seya na wanae.
babu sea azoee tu jela,hatuwezi kifungulia kibaka aje mtaaniSafi sana Magufuli ukitoka hapo mpe msamaha BABU Seya na wanae.
magufuli hana hata wiki,hata serikali hajaunda,unategemea nini?,kwasaa bado anapita na kuangalia,akishakaa sasa na watendaji wawepo ndo utasikia manenoEmbu tuongeen kwel ! Hiv maguful kafanya juhud gan zaid ya kusikia kavamia sijui wizara ya gan vile mara kaenda hosp! Mi nadhan alipofika fedha angepiga marufuk matumiz ya dola kwenye soko la ndan lkn akapita hwaaaa! Mi naona bla bla tu na ku divert mijadala kama zec na matokeo yaliomuweka madarakan
huyo bibi alipata michubuko miguuni,sasa anaendelea vizurini vizur kuwajulia hali nifahamishe tukio hilo limetokea majila ya sangapi my be tutapata undani zaid wa maendeleo ya bisimbva hali yake...katembelewa sangapiu