Mlonganzila
Member
- Feb 28, 2013
- 99
- 26
Weka na kapicha basi.
lowasa bana, yaani wote waliowahi kumsema wamepatwa na masahibu
lowasa bana, yaani wote waliowahi kumsema wamepatwa na masahibu
thibitisha
Atamtaja Mtikila labda......
Yaani akimtembelea inakuwa nongwa, asipomtembelea nongwa vile vile. Nyie mnaojiita wapinzani ni dhahiri bado mnaishi enzi za zama za jiwe (Stone Age). Jaribuni kustaarabika, japo kidogo tu....Watanzania kwasasa hawaitaji kujua raisi kaenda kumtembelea nani,...
Anatafuta sifa tu, hana lolote.