Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?


So what? Do want war? Then try to start one.
 
"Kila anaekosoa SERIKALI yangu ujue huyo ni shetani" ova
 
Mangikule ameleta mambo ya Hitler na world war II ya nini hapa? Ask him not me!
Tulia, poa moto kwanza...umepanic na bado hutaki kujitathmini. Hitler hakuzaliwa na wazo la kuwa dikteta.

Hebu rejea ulichoandika. (So what. Do want war. Then try to start one).
 
Akiwa Singida kwenye miaka 34 ya CCM alisema chama kwanza mengine baadaye.Tafakari.Hapo ndipo nilipomalizia yale niliyokuwa nayafikiria.............
Na wakati anapewa kiti alitamka, kiongozi au taasisi ya serikali isipomtambua kiongozi wa chama ata-deal naye/nayo
 
Sa hv ana piga kazi za kutumia akili ambazo waandishi wetu hawana uwezo nazo kuzifanya ziwe taarifa.

Huwezi kuanzisha viwanda huku unapiga maneno vyombo vy habari
 
Mzigo ushamshinda, au nyie hamjashtuka??? Zile CT Scan na MRI za Muhimbili magumshi tena, pale Bugando ndo walishasahau kabisa
 
Hivi kwa nini wazee walisema mzigo mzito mpe Mnyamwezi na hawakusema mpe Msukuma? Najiuliza tuu
 
Akiachia democracy tu,mambo yatemwendea unono otherwise atakwama
 
M
kutaka kukibeba chama cha mapinduzi,ndiyo gharama kubwa aliyeifanya mpaka kupoteza umaarufu wa kisiasa!
Magufuli amekosea kuziba nafasi ya mafisa na wakwepa ushuru nakurudisha uwajibikaji kazi. Hadi mafisadi yanaanzisha maoperation yasiyo na akili haaaahaaa. Magufuli chapa kazi tu Mungu yupo pamoja nawe. Amina
 
Siamini kama duniani kwa sasa hivi kuna nchi ina Rais hewa kama huyu wa kwetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…