anthony kasile
Member
- Nov 20, 2015
- 90
- 16
Jamani Magu anadai kua hakuna mfanya biashara aliemchangia na kuna tetesi Anthony diallo yule fisadi wa Star Tv kuwa waziri nmeiskia asubuhi kwenye tuongee magazeti. Sasa akimteua Diallo si ndo kufadhili marafiki yani hapa ndo nitajua unafiki wa Magu.