Mawaziri wengi wa Kikwete wanajitahidi kuchafuana kwenye media, hasa wale wenye nia ya kugombea urais 2015. Na Pombe ni mmoja wa hao wanaojikakamua kusafisha njia kwa kuwavua wenzake nguo!
Akipata Urais huyu Dr wa ukweri si atatutembeza uchi! huyu haufai hapendi kuandika anataka kuropoka tu! huku akipigwa picha.