Magufuli amchana Mkulo

Mawaziri wengi wa Kikwete wanajitahidi kuchafuana kwenye media, hasa wale wenye nia ya kugombea urais 2015. Na Pombe ni mmoja wa hao wanaojikakamua kusafisha njia kwa kuwavua wenzake nguo!

Akipata Urais huyu Dr wa ukweri si atatutembeza uchi! huyu haufai hapendi kuandika anataka kuropoka tu! huku akipigwa picha.
 
Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""

“source: TANZANIA DAIMA YA LEO

Hii ya mabasi yanedayo kwa kasi, wakati ni town buses, sasa hiyo kasi itatoka wapi wakati yatakuwa yanaendeshwa jijini na yatakuwayanasimama simama (kuteremsha, kupandindisha na kupisha watumiaji wengine wa vijibarabara vyetu kasi itatoka wapi?), je hizo barabara zitazungushiwa ukuta ili wa machinga na watembea kwa miguu wasikatishe hovyo hovyo?

Mimi binafsi huu nradi wa mabasi yaendayo kwa kasi jijini Darisalama naona kama miradi ya watu tu, nothing will happen, ni kama miaka ile ya nyuma na mradi wa kuweka govana kwenye mabasi ili yasiende kwa kasi. Watu walitengeneza pesa zao na hadi leo watanzania wasio na hatia wanaendelea kufa barabarani- muanzilishi wa hizo gavana na kampuni ya wenyewe weshatengeneza pesa zao na kujiondokea.

Mnajua wanasiasa wa Tz wana raha moja, watanzania tu wavivu wa kufikiri na kukumbuka vitu. Na hapo ndipo tunapopatikana sana kwani kila baada ya miaka kadhaa tunapatiwa kiini macho kipya na tunakimeza kizima kizima bila hata ya kufikiria mara mbili.
 

Wakati tulipokuwa na Rais anayewadhibiti mawaziri wake, Fedha za Miradi ya Maendeleo zikishatengwa kwenye Bajeti, na taratibu za kutoa tender zikakamilika, siyo Waziri wa Fedha alikuwa analipa mkandarasi. Mkandarasi alilipwa na Katibu Mkuu wa Wizara husika ambaye alikuwa ndiye "Accounting Officer".

Kama Serikali hii ya sasa imefikia kiasi cha mawaziri kuingilia kulipa moja kwa moja wateja wanaotoa huduma, basi tujue karibu Tanzania ikwame.
 
we dada utahangaika sana na mimi juu ya hizi ri za kipogoro,ndio zimenifikisha huku nakula kodi za wazungu wezi wa mali ghafi zetu,
utahangaika sana kurekebisha,lakini kiukweri ndizo zinazo nipa maisha majuu

acha jeuri mkuu.....rekebisha lugha.......
 

Wakati tulipokuwa na Rais anayewadhibiti mawaziri wake, Fedha za Miradi ya Maendeleo zikishatengwa kwenye Bajeti, na taratibu za kutoa tender zikakamilika, siyo Waziri wa Fedha alikuwa analipa mkandarasi. Mkandarasi alilipwa na Katibu Mkuu wa Wizara husika ambaye alikuwa ndiye "Accounting Officer".

Kama Serikali hii ya sasa imefikia kiasi cha mawaziri kuingilia kulipa moja kwa moja wateja wanaotoa huduma, basi tujue karibu Tanzania ikwame.

Waziri wa Fedha graduate wa Almeida, chuo ambacho hata mbwa anaweza ku graduate na MBA, unategemea nini?
 
acha jeuri mkuu.....rekebisha lugha.......

hahahahahahahaha
wacha mikwara wewe,ulitaka nisemeje mkuu,nifiche kuwa nawza kuzitamka ama kuziandika wakati nyie mnaojua kiswahili mnanieleza kuwa nazikosea,

wewe vipi mkuu,nakwambia kuwa hizo RI natokanazo mahenge mimi ni mpogoro halisia wewe unasema naleta jeuri unataka nikutukane ili nipigwe BAN,
yaani ni sawa na msukuma juu ya HAKUNAGA,akisema ukweri juu ya lugha yake utamweleza kuwa aache jeuri.(BASI TU NINA KITU NATAKA KUKITOA MOYONI JUU YAKO ban ndio manusura yako)
 
Magufuli amchana Mkullo, I mean a Nation founded on Mikingamo and Pwagu Pwaguzis nonsense empty theories! To this day 25 years after its invention by the great Sozigwa bado we are still a Nation hanging on the mysteries an illusions, so we create a myth I mean a big headline with no substance or any facts to match the heading we all wish it was true that Magufuli can rip Mkullo on the governments finances that we all know not to be true.

- Wafanyakazi wa serikali hawajalipwa mishahara for months now icluding wa wizara ya Magufuli, lakini here we are na the myth kwamba bado Mkullo is sitting on hela za Makandarasi and tunaambiwa Magufuli ni Presidential Material! Ha! Ha! Ha! ONLY IN TANZANIA! - Le Baharia
 
Kiranga
Hivi kweli tunahitaji kamusi itafafanulie namna ya viongozi tulio nao Tanzania hii ya leo? Magufuli alichotafuta si umaarufu ni dhihaka kwa wananchi aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari; mh. Magufuli ni mtendaji wa siku nyingi anafahamu fika namna gani viongozi wa serikali wanafanya mawasiliano kati yao; kama suala ilikuwa ni wizara ya fedha inafanya uzembe wa kuchelewesha malipo upo utaratibu maalum wa mawasiliano angeweza kuwasiliana mh. Mkullo na si kupitia vyombo habari; mawaziri wanakutana kwenye mikutano wa mawaziri na kwenye vikao vya chama; sasa iweje leo atumie vyombo vya habari? kama sio dhihaka ni kitu gani? na ndio sababu nilipendekeza tutoe mifano ya wanasiasa wetu; kimsingi ipo tofauti kubwa kati wanasiasa wa Marekani na wanasiasa wetu; hatukatai wote wanaitwa wanasiasa lakini wakiwa na malengo tofauti; wamerakani wanazotofauti lakini wote wana lengo moja kuifanya nchi imara na bora kiuchumi; hawa wetu wametawaliwa na ubinafsi malengo yao yamebadilika si kulitumikia Taifa ni kujilimbikizia mali kwa rushwa na ubadhirifu; si ajabu mh. Magufuli alikuwa anamkumbushia Dr. Mkullo atoe pesa ali apate kamisheni zake; wote tunajua wizara ya ujenzi ni moja ya wizara yenye rushwa ya hali ya na tenda zote zinapatikana kwa rushwa; Dr. Ron Paul na uraisi hilo sina hakika nalo ila ni mtu ambaye siku zote anasema kile anachikiamini na si kuwafurahisha wapiga kura.

Chama
Gongo la Mboto DSM

hapo kwenye nyekundu nalo neno
 
Magufuli amchana Mkullo, I mean a Nation founded on Mikingamo and Pwagu Pwaguzis nonsense empty theories! To this day 25 years after its invention by the great Sozigwa bado we are still a Nation hanging on the mysteries an illusions, so we create a myth I mean a big headline with no substance or any facts to match the heading we all wish it was true that Magufuli can rip Mkullo on the governments finances that we all know not to be true.

- Wafanyakazi wa serikali hawajalipwa mishahara for months now icluding wa wizara ya Magufuli, lakini here we are na the myth kwamba bado Mkullo is sitting on hela za Makandarasi and tunaambiwa Magufuli ni Presidential Material! Ha! Ha! Ha! ONLY IN TANZANIA! - Le Baharia

My mkuu sana..Bill,sisi tulio nyumbani wengi wameshachoshwa na siasa za maneno matupu...ambazo hazina maendeleo .....tumeshaamua ndani ya ccm if hatasimamishwa kiongozi wa vitendo Kama Magufuli ...basi urais utaenda Chadema.

Hii issue ya magufuli ,he is right ..baadhi ya pesa za ujenzi wa barabara zipo hazina ....toka world bank,European union au Japan.....sio suala la kusubiri makusanyo ya kodi Kama hiyo mishahara....sasa katika Hali Kama hiyo kwa nini wajenzi wachelewe kulipwa? .....yeye sio mjinga Hadi kulalamika .....ni wazi inawezekana katakana na nakisi kwenye budget ...Mkullo Ana divert some funds za miradi yenye pesa kulipa mishahara au matumizi mengine....na kusubiri kuwalipa wazabuni kadiri anavyopata malipo ya kodi .......hiyo ni Hali ambayo kabla ya mwaka 1995 ...ilikuwa ikijitokeza Hadi kusababisha .wafadhili wa maendeleo kipindi fulani wakawa wanapeleka pesa za miradi moja kwa moja kwenye akaunti za miradi kwenye bank za biashara ........
Bill katika siku za karinbuni kuna wafadhili wanalipa wenyewe miradi Yao ya barabara....na trust me ujenzi inaenda haraka ...na kwa kiwango...wamekataa kupitishia pesa hazina.....uliza watu,barabara ya tanga to horo horo na kule sumbawanga zinazojengwa na wamarekani kupitia millennium challenge ....malipo Yake yote hayapiti hazina.....

Ni makosa sana kutaka magufuli ache kuwa yeye kwa sababu tu Atagombea urais....kwani ni Tabia gani ya magufuli mliokuwa hamuhifahamu? Huo ukali hajaanza Leo ...? Hao wapole wamesaidia nini?
 
hapo kwenye nyekundu nalo neno

When ****** meet...

Nchi kuwapa wasaniii mwisho!!!!!!! ...ukiona analalamika ujuwe hata kwenye baraza la mawaziri Alishalalamika hasikilizwi.....

Kisa: eti barabara zikijengwa kwa kasi magufuli atapata sifa....tunajuwa hata hii wizara imebidi tu wampe BAsi...hawana jinzi makubaliano ya vilaza ilikuwa asipewe uwaziri....baadaye wastaafu wwkasema lazima yeye na Mwandosya wawemo ..inaonekana apewe wizara butu..hapo alipo alikuwapo dr shukuru ....Akifanya nini?
 
Kiranga
Hivi kweli tunahitaji kamusi itafafanulie namna ya viongozi tulio nao Tanzania hii ya leo? Magufuli alichotafuta si umaarufu ni dhihaka kwa wananchi aliyoitoa mbele ya waandishi wa habari; mh. Magufuli ni mtendaji wa siku nyingi anafahamu fika namna gani viongozi wa serikali wanafanya mawasiliano kati yao; kama suala ilikuwa ni wizara ya fedha inafanya uzembe wa kuchelewesha malipo upo utaratibu maalum wa mawasiliano angeweza kuwasiliana mh. Mkullo na si kupitia vyombo habari; mawaziri wanakutana kwenye mikutano wa mawaziri na kwenye vikao vya chama; sasa iweje leo atumie vyombo vya habari? kama sio dhihaka ni kitu gani? na ndio sababu nilipendekeza tutoe mifano ya wanasiasa wetu; kimsingi ipo tofauti kubwa kati wanasiasa wa Marekani na wanasiasa wetu; hatukatai wote wanaitwa wanasiasa lakini wakiwa na malengo tofauti; wamerakani wanazotofauti lakini wote wana lengo moja kuifanya nchi imara na bora kiuchumi; hawa wetu wametawaliwa na ubinafsi malengo yao yamebadilika si kulitumikia Taifa ni kujilimbikizia mali kwa rushwa na ubadhirifu; si ajabu mh. Magufuli alikuwa anamkumbushia Dr. Mkullo atoe pesa ali apate kamisheni zake; wote tunajua wizara ya ujenzi ni moja ya wizara yenye rushwa ya hali ya na tenda zote zinapatikana kwa rushwa; Dr. Ron Paul na uraisi hilo sina hakika nalo ila ni mtu ambaye siku zote anasema kile anachikiamini na si kuwafurahisha wapiga kura.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Mazee hapo kulikuwa na "a thread within a thread" kuhusu "populism" na kama ulivyom define hapo Ron Paul, ndicho nilichomaanisha katika ku dispute assertion kwamba "every politician is a populist" kama ilivyoletwa na mwenzetu mmoja hapa.

Hata kama Magufuri yuko right kwa mujibu wa cirumstances za kibongo, yuko right katika framework iliyo wrong.

Ikiwa inabidi Waziri ahamaki live ili kazi ifanyike, avunje kanuni za "collective responsibility" na kuacha kutumia communication channels zinazohusika, tuna tatizo kubwa katika the larger framework ya politics zetu kiasi kwamba hata kama Magufuli atapata results at the operational level, the strategic framework is crumbling.
 
Mazee hapo kulikuwa na "a thread within a thread" kuhusu "populism" na kama ulivyom define hapo Ron Paul, ndicho nilichomaanisha katika ku dispute assertion kwamba "every politician is a populist" kama ilivyoletwa na mwenzetu mmoja hapa.

Hata kama Magufuri yuko right kwa mujibu wa cirumstances za kibongo, yuko right katika framework iliyo wron







Q
Ikiwa inabidi Waziri ahamaki live ili kazi ifanyike, avunje kanuni za "collective responsibility" na kuacha kutumia communication channels zinazohusika, tuna tatizo kubwa katika the larger framework ya politics zetu kiasi kwamba hata kama Magufuli atapata results at the operational level, the strategic framework is crumbling.

Mnatakiwa kuelewa kuwa mazingira anajifanya kazi magufuli ni magumu...yupo kwenye baraza kwa mapenzi ya wananchi na viongozi wastaafu....mnaongelea collective responsibility......mbona hamkumtetea rais na waziri mkuu walipomkemea hadharani kwa kutekeleza sheria ya kuvunja nyumba zilizo kwenye hitadhi ya barabara......na sasa wanakwwmisha wazabuni wa barabara ili aonekane hafanyi kazi...a syndicate...naona ni safi kabisa ameongea wazi ili wajuwe tatizo la barabara kuckelewa Kwisha linaanzia wapi....au tatizo la baadhi ya wakandarwsi Wenye miraji kidogo kulipua barabara......hawalipwi kwa wakati!!!!!!!!! Ni wazi kuwaambia Wenye nchi kwani tangu January 2011 wakandarasi wanadai billion 700 kwanini hawalipwi ...wakati miradi mingine inajengwa na pesa za mikopo au za wafadhili amabazo wizara ya ujenzi in a taarifa zipo hazina...wanaficha za nini?............mbona mkapa alikuwa anajenga barabara na hata mradi wa maji lake victoria kwa pesa za ndani na wazabuni wanalipwa na waziri akiwa magufuli,....sembuse pesa za grant
 
On one hand I like his hands-on management style because it can keep people who report to him on their toes but on the other I don't like the public scolding.

So I'm kinda torn.
 
On one hand I like his hands-on management style because it can keep people who report to him on their toes but on the other I don't like the public scolding.

So I'm kinda torn.

Give me a one handed Nyani Ngabu.
 
On one hand I like his hands-on management style because it can keep people who report to him on their toes but on the other I don't like the public scolding.

So I'm kinda torn.

The situation Tanzania is as a nation now..we need a leader who can move stones ....not a prumphet...or smile or "ladies choice"
 
Mnatakiwa kuelewa kuwa mazingira anajifanya kazi magufuli ni magumu...

Kama ungefuatilia posts zangu za nyuma, hususan nilipopata direct feedback kutoka kwa mtu aliye claim kwamba anafanya kazi TANROADS akamtetea Magufuli, ungeona kwamba nilishaliongelea hili na kukubali kwamba mie sijui hali halisi kama huyu mtu wa TANROADS na labda bongo inabidi watu waendeshwe ki-ng'ombeng'ombe.

yupo kwenye baraza kwa mapenzi ya wananchi na viongozi wastaafu....

Hili sina uhakika nalo na siwezi kuongea sana, isitoshe rais akishamteua waziri mimi nachukulia "in good faith" kwamba waziri yupo kwenye baraza kwa mapenzi ya rais, lakini hili halimaanishi kwamba rais hawezi kuwa anajenga some sort of political coalition bila yeye kumtaka mtu.

mnaongelea collective responsibility......mbona hamkumtetea rais na waziri mkuu walipomkemea hadharani kwa kutekeleza sheria ya kuvunja nyumba zilizo kwenye hitadhi ya barabara......

Unless una uwezo wa ku serach posts zote humu sioni kwa vipi utakuwa na uhakika na hili. Two wrongs do not make a right. Collective responsibility ni a core principle of governance, kwa hiyo sijali nani kavunja principle hii, ukikosa umekosa tu, uwe Kikwete au Magufuli. Naongea principles, sio watu. Wananchi tukiona Magufuli anazozana na Mkulo kuhusu fedha, hatujali Magufuli wala Mkullo, tunaona "serikali ya CCM inachemsha, mawaziri wanajibizana wazi kama watoto, kazi haziendi".

[/QUOTE]na sasa wanakwwmisha wazabuni wa barabara ili aonekane hafanyi kazi...[/QUOTE]

Nchi yetu imeoza ila siamini imeoza kiasi hiki. Hili linawezekana kweli? Serikali ya CCM imkwamishe waziri wake kisa tu asionekane mchapakazi. Ndipo tulipofikia hapa kweli? Kuna ushahidi gani unaokufanya useme hivi? Au una perpetuate urban legends tu? Hivi kama Kikwete hamtaki Magufuli anashindwa nini kufanya reshuffle na kumtoa tu? Kitu gani kitatokea?

a syndicate...naona ni safi kabisa ameongea wazi ili wajuwe tatizo la barabara kuckelewa Kwisha linaanzia wapi....

Naelewa kwamba inawezekana kaongea hata kwenye cabinet hawajamsikiliza, sasa anasema in the court of public opinion kama nilivyosema earlier. Lakini hata hili lina signify a decay in governance.

au tatizo la baadhi ya wakandarwsi Wenye miraji kidogo kulipua barabara......hawalipwi kwa wakati!!!!!!!!! Ni wazi kuwaambia Wenye nchi kwani tangu January 2011 wakandarasi wanadai billion 700 kwanini hawalipwi ...wakati miradi mingine inajengwa na pesa za mikopo au za wafadhili amabazo wizara ya ujenzi in a taarifa zipo hazina...wanaficha za nini?............mbona mkapa alikuwa anajenga barabara na hata mradi wa maji lake victoria kwa pesa za ndani na wazabuni wanalipwa na waziri akiwa magufuli,....sembuse pesa za grant

Huwezi kuwa Mkatoliki halafu ukamhadaa Papa, alisema Msuya. "Collective Responsibility" ina demand kwamba unapochaguliwa kuwa waziri, unaangalia nitafanya kazi na nani? Rais Kikwete? Waziri wa Fedha Mkullo? Vilaza hawa, siwezi kufanya nao kazi. Unakataa, unaenda CHADEMA unakuwa mpinzani. Ukikubali maana yake huwezi kuwa undermine wenzako kwenye vyombo vya habari. Au wakikuzingua unajiuzulu serikalini, then kama unataka kuwablast unawablast. Huwezi kubomoa nyumba wakati umo ndani ya nyumba hiyo hiyo, utaumia.

Zaidi ya hapo, nilisema yafuatayo nikiangalia the short term solutions vs the big picture. Magufuli inabidi a focus kote, huku kuhamaki kila siku ni indication ya mtu anaye focus kwenye daily operation bila ya kuwa na a big picture strategy

Ikiwa inabidi Waziri ahamaki live ili kazi ifanyike, avunje kanuni za "collective responsibility" na kuacha kutumia communication channels zinazohusika, tuna tatizo kubwa katika the larger framework ya politics zetu kiasi kwamba hata kama Magufuli atapata results at the operational level, the strategic framework is crumbling.
 
Well, Mkuu Philemon Michael a good debater hukubali anapozidiwa hoja, hoja zako zinaonyesha ukaribu na uelewa wa hali ya juu sana on the subject, I salute you na hands down! - Le Baharia
 
My mkuu sana..Bill,sisi tulio nyumbani wengi wameshachoshwa na siasa za maneno matupu...ambazo hazina maendeleo .....tumeshaamua ndani ya ccm if hatasimamishwa kiongozi wa vitendo Kama Magufuli ...basi urais utaenda Chadema.

Hii issue ya magufuli ,he is right ..baadhi ya pesa za ujenzi wa barabara zipo hazina ....toka world bank,European union au Japan.....sio suala la kusubiri makusanyo ya kodi Kama hiyo mishahara....sasa katika Hali Kama hiyo kwa nini wajenzi wachelewe kulipwa? .....yeye sio mjinga Hadi kulalamika .....ni wazi inawezekana katakana na nakisi kwenye budget ...Mkullo Ana divert some funds za miradi yenye pesa kulipa mishahara au matumizi mengine....na kusubiri kuwalipa wazabuni kadiri anavyopata malipo ya kodi .......hiyo ni Hali ambayo kabla ya mwaka 1995 ...ilikuwa ikijitokeza Hadi kusababisha .wafadhili wa maendeleo kipindi fulani wakawa wanapeleka pesa za miradi moja kwa moja kwenye akaunti za miradi kwenye bank za biashara ........
Bill katika siku za karinbuni kuna wafadhili wanalipa wenyewe miradi Yao ya barabara....na trust me ujenzi inaenda haraka ...na kwa kiwango...wamekataa kupitishia pesa hazina.....uliza watu,barabara ya tanga to horo horo na kule sumbawanga zinazojengwa na wamarekani kupitia millennium challenge ....malipo Yake yote hayapiti hazina.....

Ni makosa sana kutaka magufuli ache kuwa yeye kwa sababu tu Atagombea urais....kwani ni Tabia gani ya magufuli mliokuwa hamuhifahamu? Huo ukali hajaanza Leo ...? Hao wapole wamesaidia nini?
Mkuu wangu tunaambiwa miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na wafadhili haijakwama na makandarasi wanalipwa kadri wanavyofanya kazi na kudai. Tatizo lipo kwenye miradi ambayo inalipwa kwa pesa za ndani yaani ambayo inalipwa na pesa za walipakodi wa TZ. Nina shaka kama kuna ukweli wowote juu ya mkulo kukatalia fedha za wafadhili kwa kuwa utaratibu wa malipo ya fedha za wafadhili una mambo mengi kiasi kwamba ukitaka kudivert funds inauwa vigumu sana.
 
Well, Mkuu Philemon Michael a good debater hukubali anapozidiwa hoja, hoja zako zinaonyesha ukaribu na uelewa wa hali ya juu sana on the subject, I salute you na hands down! - Le Baharia

Mkuu Bill respect to you as well...unajuwa nchi kwa sasa ipo katika Hali ya mkwamo...ni muhimu kumuweka magogoni mtawala Kama magufuli au mwenye qualities hizo....ili kulitoaa gari kwenye matope , kwa sasa mtawala tuliyenae akiwa na miaka 4 mbele ,heshima Yake kwa wananchi imeshuka ....wananchi Hawamsikilizii kwa sababu viongozi wake Tu Hadi wa chini wanamdharau...hii ndio imezalisha migongano barazani.

Juzi wakati Maafa yametokea..maagizo aliyoyatoa pale pale wananchi ....wanampingaa ,ndio tutaita demokrasia lakini tufqhamu kuwa Kama watu hawatamsikiliza rais wao...basi Hao wanataka kuonana na Mungu....mamlaka ya rais ni kubwa mno kuweza kudharauliwa.....nadhani kuna tatizo kubwa mno kwenye state machinery kwa ujumla....turudishe heshima ya ikulu.....na urais....



Mkuu wangu tunaambiwa miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na wafadhili haijakwama na makandarasi wanalipwa kadri wanavyofanya kazi na kudai. Tatizo lipo kwenye miradi ambayo inalipwa kwa pesa za ndani yaani ambayo inalipwa na pesa za walipakodi wa TZ. Nina shaka kama kuna ukweli wowote juu ya mkulo kukatalia fedha za wafadhili kwa kuwa utaratibu wa malipo ya fedha za wafadhili una mambo mengi kiasi kwamba ukitaka kudivert funds inauwa vigumu sana.

Kaka kuna miradi mingi tu imecheleweshwa malipo pamoja na pesa kutoka kwa wafadhili...mfano barabara iliyo dar Kama ubungo to port ,Mandela rd ..sio Siri kuwa sababu ya kuchelewa kukamilika ni malipo ya ukiwa ya taabu...angalia archives kwenye magazeti Kama mwananchi....,
Barabara ya Kilwa ...imeharibika katakana na wajenzi Kajima kuamua ku subcontract mradi mzima kwa wahindi .....ambao walijenga chini ya kiwango....katakana na malipo ya mradi huo kutowashawishi Kajima kufanya mradi wao moja kwa moja...pesa za mradi zikitolewa na serikali ya Japan.....Aliporudi magufuli pale wizarani amekataa kuipokea barabara hiii....
 
Back
Top Bottom