kalokolaVIII
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 396
- 183
Mr. Kiranga,
nimegundua kuwa namna yako ya kufikiri ni application ya knowledge yako ya sociology and political science na ndio maana neno "populism" linakusababishia urticaria na unataka tu adopt statism ili watu waliosoma siasa waweze kuamua kwa niaba ya wale ambao hawakusoma siasa - people versus èlite.
Mimi nina mtazamo tofauti na wewe, ninabaki na mtazamo wangu na wewe baki na mtazamo wako by the way tofauti ya mawazo ndio inayotufanya tuishi vizuri na kwa mafanikio just fikiria kama sisi wote tungekuwa na mtazamo mmoja - what an annoying situation!!
Politically fikiria kama sisi wote tungekuwa CCM, au wote CHADEMA, au CUF ahahah
so as far as I'm concerned I call it a topic - nimefurahi sana kuwa na mjadala nawe na ninakutakia siku njema.
take care bro!!
nimegundua kuwa namna yako ya kufikiri ni application ya knowledge yako ya sociology and political science na ndio maana neno "populism" linakusababishia urticaria na unataka tu adopt statism ili watu waliosoma siasa waweze kuamua kwa niaba ya wale ambao hawakusoma siasa - people versus èlite.
Mimi nina mtazamo tofauti na wewe, ninabaki na mtazamo wangu na wewe baki na mtazamo wako by the way tofauti ya mawazo ndio inayotufanya tuishi vizuri na kwa mafanikio just fikiria kama sisi wote tungekuwa na mtazamo mmoja - what an annoying situation!!
Politically fikiria kama sisi wote tungekuwa CCM, au wote CHADEMA, au CUF ahahah
so as far as I'm concerned I call it a topic - nimefurahi sana kuwa na mjadala nawe na ninakutakia siku njema.
take care bro!!