Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Subiri muda wake kikatiba ukiisha ataenda kupumzika lakini amepambana na mauvundo mengi duuh
Mavundo ya kula rambi rambi za Bukoba?
Subiri muda wake kikatiba ukiisha ataenda kupumzika lakini amepambana na mauvundo mengi duuh
ahahahaha nimemsikia tena juzi akidai tuendelee kumwombea,wakati wanyonge wanakufa na njaa hawana hata nguvu za maombiHajakuambia wewe
Wengine tunaweza kumuombea.ahahahaha nimemsikia tena juzi akidai tuendelee kumwombea,wakati wanyonge wanakufa na njaa hawana hata nguvu za maombi
Uwajibikaji kwa kushindwa kuongeza mishahara na uhaba wa chanjo na dawa ndo kuna uwajibikaji hapo,kupungua wanafunz elim ya juu ndo uwajibikajiWakati tendo linafanyika na wewe umo ndani ya gemu huoni kama timu inafanya vizuri.
Mtajua uzuri wa Magufuli baada ya yeye kuitengeneza Tanzania kwa watanzania wajao. Kizazi hiki kimeishi kwa mazoea muda mrefu hivyo si rahisi kusupporr mtu anayeyaondoa mazoea na kuleta uwajibikaji, ukweli na uhalisia wa maisha.
mbatata kabisaWewe jamaa ni kiazi
Chato International Aerodrome