babu maziwa
Member
- Dec 13, 2016
- 60
- 34
Kwanini mnaitumbukiza CCM kwenye masuala ya CUF na msajili? Au ni chuki sisizo na msingi? Mbona alipo shinda Lema, hamkuisifia CCM kwa kumtoa Lema?
Yaani wewe bado unaamini kuna UKAWA? Hujui kuwa mwasisi wa UKAWA ni Mh. Lipumba hata hilo jina lilitengenezwa na Prof. Lipumba. Malengo (objectives) za UKAWA ziliwekwa wazi na zinajulikana.Mkuu Huu Udaktari wa Kweli au Mbwembwe Tu?? Wapi Nimetaja Chadema? Kwani Ukawa ni Chadema Siku Hizi? Nauliza tu
Mtatiro alisema ingekuwa wanapambana na Lipumba Peke yake angekuwa washamaliza mchezo saa mbili asubuhi lakini hawapambani na Lipumba bali wanapambana na TrumpRapa na Serikali yake ndio maana issue inakuwa ngumu...Leprpfeseli kawekwa Front tu ila nyuma kuna Sirikali Nzima.Siioni kbs tofauti ya lipumba na bashite ni bora wazazi wao wangekula tu ada zao.
Sefu mpaka anakwenda mahakamani yeye ujue kabanwa.Wote waliopishana na Sefu aliwafukuza mara mojaKuna SEIF nje ya CUF!!!! na sio SEIF tu ila SEIF IMARA
Hii tarehe ya barua mbona inaonyesha kuwa Msajili amemtambua katibu mpya kabla ile ya juzi kina Lipumba kudai kuwa wamemvua Seif sharif Ukatibu wa chama?Katika pitapita zangu nmekutana na hii barua sina uhakika kama ni ya kweli mwenye information zaidi naomba ufafanuzi
Na kwa wadhifa huo wa Katibu Mkuu , jambo la kwanza ni kuzuru Makao Makuu ya chama cha CUF Zanzibar,Tutampa ushirikiano. Lakini nae akishindwa kufanya hivyo Msajili aweza pia kuchukua hatua stahiki kwa kushindwa kukamilisha majukumu yake ya kichama. Hongera sakayaNimefurahi Sana. Hongera sakaya
Nakuɓaliana na wewe kwa sharti moja siƙu hiyo hiyo sakaya akienɗa zanziɓar kuimarisha chama hamad aje bara naye kuimarisha chama huku pia tutampa ushirikianoNa kwa wadhifa huo wa Katibu Mkuu , jambo la kwanza ni kuzuru Makao Makuu ya chama cha CUF Zanzibar,Tutampa ushirikiano. Lakini nae akishindwa kufanya hivyo Msajili aweza pia kuchukua hatua stahiki kwa kushindwa kukamilisha majukumu yake ya kichama. Hongera sakaya