Seif anazama slowly but surely !!Katika pitapita zangu nmekutana na hii barua sina uhakika kama ni ya kweli mwenye information zaidi naomba ufafanuzi![]()
Tatizo sheria huwa inafeva pande zote..akipata dhamana lema na lijualamoto mnacheeeeeka. Lakini ikiwa tofauti mnachoooonga. Sijui mkoje tu.jaribuni kumwiga mbowe. Huyo jamaa kuna kipindi huwa namkubali sana ana busara sana.msajili,propesa wanaitumikia CCM. but mbinu zote Mungu anawaaumbua
Hongera sakaya mwanamke WA kwanza Tanganyika na Zanzibar kuwa katibu mkuu wa chama cha siasa. Haijawahi tokea mwanamke nchi hii kwa mwanamke kuwa katibu mkuu wa chama. Hata CCM haijawahi tokea. Vyama vyote vya siasa viige CUF kuwaamini akina Mama kwenye madaraka makubwa. CUF, hongereni mnajali akina mama mheshimiwa mwenyekiti wa CUF profesa Lipumba na Hongera CUF kwa kuonyesha njia. Vyama vyote tukiwemo CCM tuwaige CUF. Sakaya iwekwe kwenye rekodi ya siasa kuwa alikuwa mwanamke wa kwanza kuwa katibu mkuu wa chama. Nimefurahi Sana. Hongera sakayaKatika pitapita zangu nmekutana na hii barua sina uhakika kama ni ya kweli mwenye information zaidi naomba ufafanuzi![]()
Tatizo sheria huwa inafeva pande zote..akipata dhamana lema na lijualamoto mnacheeeeeka. Lakini ikiwa tofauti mnachoooonga. Sijui mkoje tu.jaribuni kumwiga mbowe. Huyo jamaa kuna kipindi huwa namkubali sana ana busara sana.
kaka umesema kwel yan wakishinda kes wanaisifia sheria na wao wanajiona ni wababe wa sheria ila sheria hiyo waliosufia ikiwageukia wanaanza kutokwa povu badiliken muachekushikiwa akili zenu
kuwa huru ktk kufikir bna
SAFI SANAKatika pitapita zangu nmekutana na hii barua sina uhakika kama ni ya kweli mwenye information zaidi naomba ufafanuzi![]()