cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
ewe cheusi mangala, salamu nakutmia,
mola anayetawala, akupe nyingi jalia,
usijeingia hila, nduguzo kutuchukia
...upatapo siku mbili, moja ututembelee.
uliondoka ghafula, ukatuacha na njia
ndege ukaidandila, ukapotea sawia
hatuna hamu ya kula, hata maji kunawia
...ile namba ya nduguyo,
Natamani kukujibu kimalenga ila kila nikijaribu nashangaa najiwa na kigugumizi,
nashukuru kwa kunitakia mema Pj.
hapo pekundu,hilo haliwezekani,niliwapenda mwanzo,nilifurahia muda wote niliokuwa nanyi na nitawapenda siku zote.
hapo pa blue tuko pamoja.