The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
nimewahi sikia na kusoma through internet kuhusu
haya magonjwa yanaitwa sexual disoder but sikuwahi sikia kuwa kuna wa africa nao
siku zote nimeamini ni wazungu ndo wagonjwa
mfano wa stori hii hapa....
ANATAKA NIMCHAPE VIBOKO..MIE SIPENDI JAMANI..NIFANYEJE?? Written by Mange Sunday, 18 July 2010 18:47
Basi Jamani eeh wadau wenzangu wa ... yamenifika!!... sasa mimi nimeolewa miaka mitatu iliyopita, na katika ndoa yangu na hata wakati wa uhusiano wa kuchumbiana mume wangu alikuwa anapenda kunifanyia kila kitu ninachokitaka ... hata kuniandalia maji ya kuoga kama hatuogi wawili unakuta ameshaniandalia maji ya kuoga, yuko tayari kunisugua mgongo, kufua nguo za ndani, kunifuta na taulo baada ya kuoga na kadhalika. Sasa, kwangu mimi ndio kilichonifanya nimfike kabisaaaa, yaani tukienda mahali, ananifungulia mlango wa gari, anataka kila kitu ninachohikitaji yeye ndio atanifanyia na wakati mwingine vizawadi zawadi bila hata special occassion yeye atataka kunizawadia, yaani kwa ujumla... anavishughuli shughuli hivyo kweli.
Sasa miaka mitatu tangu tufunge ndoa na tuna mtoto mmoja, lakini mwenzangu sasa anataka nimfanye awe kama mtumwa wangu...yaani slave wangu....nimfunge kamba, nimburuze, na nimchape chape na fimbo au mkanda, nimfunge macho, nimketike mgongoni ili anitembeze tembeze tukiwa chumbani yaani a bit of masoinist type of thing -inabidi niseme mwenzangu ni mweusi kama mimi na ni wa miraba minne haswa ...sasa jamani, mimi kidogo naona vibaya na sipendi huu mchezo... japokuwa tokea mwanzo wa uhusiano alikuwa ananitii sana ..mind you...mimi ni kibotable sana na soft person basi nikadhani ni upendo aliokuwa naye kwangu nisijue kuwa anafantasy ya aina yake.
Mimi haya mambo kwangu ni mageni saaaaanaa tu, sasa sijui kama nyie pia mmeshaona mambo kama haya kuwa mwanamme miraba minnee atake sana kuplease na kufanywa kama mtumwa. Kwenye mambo ya tendo la ndoa, ni safi sana yaani sina malalamiko kabisa, lakini siku hizi anataka niwe namchapa kwa fimbo au mkanda kabla ya tendo ili apate raha ...jamani... mimi ni mmatumbi (mwafrika) kama yeye na wote ni watanzania, lakini yananishinda...jamani.
Swali langu ni hivi;
Kwanza naogopa ndoa yangu itaaisha nisipoonyesha ushirikiano maana anaweza pata mwingine atakayependa haya, pili - hivi, hizi ni style mpya ambazo zimenipita wakati au? tatu-kama ni nyie wanawake wenzangu mngefanyaje?.
Nitashukuru kwa maoni yenu kina wote mabwana na mabibi
Wenu mpendwa ....kwenye njia panda
haya magonjwa yanaitwa sexual disoder but sikuwahi sikia kuwa kuna wa africa nao
siku zote nimeamini ni wazungu ndo wagonjwa
mfano wa stori hii hapa....
ANATAKA NIMCHAPE VIBOKO..MIE SIPENDI JAMANI..NIFANYEJE?? Written by Mange Sunday, 18 July 2010 18:47
Basi Jamani eeh wadau wenzangu wa ... yamenifika!!... sasa mimi nimeolewa miaka mitatu iliyopita, na katika ndoa yangu na hata wakati wa uhusiano wa kuchumbiana mume wangu alikuwa anapenda kunifanyia kila kitu ninachokitaka ... hata kuniandalia maji ya kuoga kama hatuogi wawili unakuta ameshaniandalia maji ya kuoga, yuko tayari kunisugua mgongo, kufua nguo za ndani, kunifuta na taulo baada ya kuoga na kadhalika. Sasa, kwangu mimi ndio kilichonifanya nimfike kabisaaaa, yaani tukienda mahali, ananifungulia mlango wa gari, anataka kila kitu ninachohikitaji yeye ndio atanifanyia na wakati mwingine vizawadi zawadi bila hata special occassion yeye atataka kunizawadia, yaani kwa ujumla... anavishughuli shughuli hivyo kweli.
Sasa miaka mitatu tangu tufunge ndoa na tuna mtoto mmoja, lakini mwenzangu sasa anataka nimfanye awe kama mtumwa wangu...yaani slave wangu....nimfunge kamba, nimburuze, na nimchape chape na fimbo au mkanda, nimfunge macho, nimketike mgongoni ili anitembeze tembeze tukiwa chumbani yaani a bit of masoinist type of thing -inabidi niseme mwenzangu ni mweusi kama mimi na ni wa miraba minne haswa ...sasa jamani, mimi kidogo naona vibaya na sipendi huu mchezo... japokuwa tokea mwanzo wa uhusiano alikuwa ananitii sana ..mind you...mimi ni kibotable sana na soft person basi nikadhani ni upendo aliokuwa naye kwangu nisijue kuwa anafantasy ya aina yake.
Mimi haya mambo kwangu ni mageni saaaaanaa tu, sasa sijui kama nyie pia mmeshaona mambo kama haya kuwa mwanamme miraba minnee atake sana kuplease na kufanywa kama mtumwa. Kwenye mambo ya tendo la ndoa, ni safi sana yaani sina malalamiko kabisa, lakini siku hizi anataka niwe namchapa kwa fimbo au mkanda kabla ya tendo ili apate raha ...jamani... mimi ni mmatumbi (mwafrika) kama yeye na wote ni watanzania, lakini yananishinda...jamani.
Swali langu ni hivi;
Kwanza naogopa ndoa yangu itaaisha nisipoonyesha ushirikiano maana anaweza pata mwingine atakayependa haya, pili - hivi, hizi ni style mpya ambazo zimenipita wakati au? tatu-kama ni nyie wanawake wenzangu mngefanyaje?.
Nitashukuru kwa maoni yenu kina wote mabwana na mabibi
Wenu mpendwa ....kwenye njia panda