magonjwa haya ya mapenzi na weusi pia?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,884
nimewahi sikia na kusoma through internet kuhusu
haya magonjwa yanaitwa sexual disoder but sikuwahi sikia kuwa kuna wa africa nao
siku zote nimeamini ni wazungu ndo wagonjwa
mfano wa stori hii hapa....


ANATAKA NIMCHAPE VIBOKO..MIE SIPENDI JAMANI..NIFANYEJE?? Written by Mange Sunday, 18 July 2010 18:47


Basi Jamani eeh wadau wenzangu wa ... yamenifika!!... sasa mimi nimeolewa miaka mitatu iliyopita, na katika ndoa yangu na hata wakati wa uhusiano wa kuchumbiana mume wangu alikuwa anapenda kunifanyia kila kitu ninachokitaka ... hata kuniandalia maji ya kuoga kama hatuogi wawili unakuta ameshaniandalia maji ya kuoga, yuko tayari kunisugua mgongo, kufua nguo za ndani, kunifuta na taulo baada ya kuoga na kadhalika. Sasa, kwangu mimi ndio kilichonifanya nimfike kabisaaaa, yaani tukienda mahali, ananifungulia mlango wa gari, anataka kila kitu ninachohikitaji yeye ndio atanifanyia na wakati mwingine vizawadi zawadi bila hata special occassion yeye atataka kunizawadia, yaani kwa ujumla... anavishughuli shughuli hivyo kweli.

Sasa miaka mitatu tangu tufunge ndoa na tuna mtoto mmoja, lakini mwenzangu sasa anataka nimfanye awe kama mtumwa wangu...yaani slave wangu....nimfunge kamba, nimburuze, na nimchape chape na fimbo au mkanda, nimfunge macho, nimketike mgongoni ili anitembeze tembeze tukiwa chumbani yaani a bit of masoinist type of thing -inabidi niseme mwenzangu ni mweusi kama mimi na ni wa miraba minne haswa ...sasa jamani, mimi kidogo naona vibaya na sipendi huu mchezo... japokuwa tokea mwanzo wa uhusiano alikuwa ananitii sana ..mind you...mimi ni kibotable sana na soft person basi nikadhani ni upendo aliokuwa naye kwangu nisijue kuwa anafantasy ya aina yake.

Mimi haya mambo kwangu ni mageni saaaaanaa tu, sasa sijui kama nyie pia mmeshaona mambo kama haya kuwa mwanamme miraba minnee atake sana kuplease na kufanywa kama mtumwa. Kwenye mambo ya tendo la ndoa, ni safi sana yaani sina malalamiko kabisa, lakini siku hizi anataka niwe namchapa kwa fimbo au mkanda kabla ya tendo ili apate raha ...jamani... mimi ni mmatumbi (mwafrika) kama yeye na wote ni watanzania, lakini yananishinda...jamani.

Swali langu ni hivi;

Kwanza naogopa ndoa yangu itaaisha nisipoonyesha ushirikiano maana anaweza pata mwingine atakayependa haya, pili - hivi, hizi ni style mpya ambazo zimenipita wakati au? tatu-kama ni nyie wanawake wenzangu mngefanyaje?.

Nitashukuru kwa maoni yenu kina wote mabwana na mabibi

Wenu mpendwa ....kwenye njia panda
0clip_image002.png
 
ndio utandawazi huo.......hizo ni fetish tu mazee..............
 
Nimepapenda hapo kwenye kupiga mkanda,we piga tu si ameomba mwenyewe apigwe labda itapelekea safari yenu kufika kwa raha zote,jaribu uone.
By the way mkuu mambo ya ndani ya ndoa/mahusiano ni mazito na ya ajabu sana. Kila mmoja angejaribu kufunua mambo yaliyomkuta unaweza kulia ama kucheka hadi kuzirai.
 
huyo anataka kupigwa mkanda au na mengine jamani? may be anataka kuexpresiwa!!
 
Huyo ni masochist. Anapata raha mstarehe anapofanyiwa huo ukatili. Bila hivo hana raha, hata hayo mambo ya ndoa hayampi raha. Mpaka achapwe! Dada, kazi ni kwako. Shika mkanda, tandika vilivo mpaka jamaa atabasamu na apandishe midadi yake. Vinginevo utaachika. Duh! duniani kuna mambo!
 
Yah ni hatari maana those kinda guys obtain sexual gratification from being physically or emotionally abused, humiliated or mistreated, either by another or by oneself,but to me is kind of sexual disorder he need to be treated not to be promoted .
Ukiachia hiyo wengi wao huenda mpaka kwenye kuua wanaofanya nao sex and that make them feel good too,so you have to discourage that and actual you cant do it youself :you need a good shrink to help you.
Kwa msaada zaidi just search/google personal disorder treatment and cure
 
Wewe mtu kisha sema anataka nini, na ukae ukielewa kuwa mda ukifika atakuacha ataenda wanakoweza kufanya hivyo na akifanyiwa basi umeachika sasa kazi kwako kunyoa ua kusuka
na maanisha kuchapa viboko au kuachika katika ndoa.
 
nimewahi sikia na kusoma through internet kuhusu
haya magonjwa yanaitwa sexual disoder but sikuwahi sikia kuwa kuna wa africa nao
siku zote nimeamini ni wazungu ndo wagonjwa
mfano wa stori hii hapa....


ANATAKA NIMCHAPE VIBOKO..MIE SIPENDI JAMANI..NIFANYEJE?? Written by Mange Sunday, 18 July 2010 18:47


Basi Jamani eeh wadau wenzangu wa ... yamenifika!!... sasa mimi nimeolewa miaka mitatu iliyopita, na katika ndoa yangu na hata wakati wa uhusiano wa kuchumbiana mume wangu alikuwa anapenda kunifanyia kila kitu ninachokitaka ... hata kuniandalia maji ya kuoga kama hatuogi wawili unakuta ameshaniandalia maji ya kuoga, yuko tayari kunisugua mgongo, kufua nguo za ndani, kunifuta na taulo baada ya kuoga na kadhalika. Sasa, kwangu mimi ndio kilichonifanya nimfike kabisaaaa, yaani tukienda mahali, ananifungulia mlango wa gari, anataka kila kitu ninachohikitaji yeye ndio atanifanyia na wakati mwingine vizawadi zawadi bila hata special occassion yeye atataka kunizawadia, yaani kwa ujumla... anavishughuli shughuli hivyo kweli.

Sasa miaka mitatu tangu tufunge ndoa na tuna mtoto mmoja, lakini mwenzangu sasa anataka nimfanye awe kama mtumwa wangu...yaani slave wangu....nimfunge kamba, nimburuze, na nimchape chape na fimbo au mkanda, nimfunge macho, nimketike mgongoni ili anitembeze tembeze tukiwa chumbani yaani a bit of masoinist type of thing -inabidi niseme mwenzangu ni mweusi kama mimi na ni wa miraba minne haswa ...sasa jamani, mimi kidogo naona vibaya na sipendi huu mchezo... japokuwa tokea mwanzo wa uhusiano alikuwa ananitii sana ..mind you...mimi ni kibotable sana na soft person basi nikadhani ni upendo aliokuwa naye kwangu nisijue kuwa anafantasy ya aina yake.

Mimi haya mambo kwangu ni mageni saaaaanaa tu, sasa sijui kama nyie pia mmeshaona mambo kama haya kuwa mwanamme miraba minnee atake sana kuplease na kufanywa kama mtumwa. Kwenye mambo ya tendo la ndoa, ni safi sana yaani sina malalamiko kabisa, lakini siku hizi anataka niwe namchapa kwa fimbo au mkanda kabla ya tendo ili apate raha ...jamani... mimi ni mmatumbi (mwafrika) kama yeye na wote ni watanzania, lakini yananishinda...jamani.

Swali langu ni hivi;

Kwanza naogopa ndoa yangu itaaisha nisipoonyesha ushirikiano maana anaweza pata mwingine atakayependa haya, pili - hivi, hizi ni style mpya ambazo zimenipita wakati au? tatu-kama ni nyie wanawake wenzangu mngefanyaje?.

Nitashukuru kwa maoni yenu kina wote mabwana na mabibi

Wenu mpendwa ....kwenye njia panda
0clip_image002.png

duu! Si mchezo
 
mmh tabu kweli kweli inaonekana bakora za shule za msingi hazijamtosha uyu ennhh???
ilo pepo mshkaji wangui ebu fanya mpango ukaonane na watu wa kiroho wanaweza kukusaidia!!!!!

mwombee jaman.
 
kuna dada mmoja changudoa alihojiwa na kituo cha Clouds Radio kipindi cha njia panda alikuwa anachukuliwa na mzungu anakaa Mikocheni nae walikuwa wanachapana na mikanda kabla ya kukiduana halafu baadae anamwambia yule CD anye kwenye sahani halafu jamaa ananusa kinyesi anasikia raha sana

yule dada anasema yalikuwa ni mateso makubwa ila yule mzungu alikuwa anamlipa hela nyingi kipato sawa na kwenda kujiuza rejareja wiki mbili mtaani

Anadai ukifika kwake walinzi wanakuuliza unamjua vizuri lakini uwa anachapa mikanda. Yeye anadai alikuwa anavumilia machangu wenzake wote walichemsha na anadai alikuwa anamchapa yule mzungu mpaka anakuwa mwekundu mwili mzima ila ndio stimu zake
 
Huyo ni masochist. Anapata raha mstarehe anapofanyiwa huo ukatili. Bila hivo hana raha, hata hayo mambo ya ndoa hayampi raha. Mpaka achapwe! Dada, kazi ni kwako. Shika mkanda, tandika vilivo mpaka jamaa atabasamu na apandishe midadi yake. Vinginevo utaachika. Duh! duniani kuna mambo!

Tena nafikiri wakati wa kumchapa badala ya kuchukua mkanda yeye akachukue ile fimbo ya mpera au mbuyu najua kazi yake ataisikia vilivyo.
Haya ni mashetani na sio kitu kingine au kama mdau alivyosema kuwa huyu jamaa labda atakuwa anataka kuexpresiwa.:scared:
 
kuna dada mmoja changudoa alihojiwa na kituo cha Clouds Radio kipindi cha njia panda alikuwa anachukuliwa na mzungu anakaa Mikocheni nae walikuwa wanachapana na mikanda kabla ya kukiduana halafu baadae anamwambia yule CD anye kwenye sahani halafu jamaa ananusa kinyesi anasikia raha sana

yule dada anasema yalikuwa ni mateso makubwa ila yule mzungu alikuwa anamlipa hela nyingi kipato sawa na kwenda kujiuza rejareja wiki mbili mtaani

Anadai ukifika kwake walinzi wanakuuliza unamjua vizuri lakini uwa anachapa mikanda. Yeye anadai alikuwa anavumilia machangu wenzake wote walichemsha na anadai alikuwa anamchapa yule mzungu mpaka anakuwa mwekundu mwili mzima ila ndio stimu zake





yap hata mi niliskia hiyo story,ni mapepo tu hayo
 
Back
Top Bottom