Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Balantanda, mie yangu ni haya hapa chini. Ila nimekuja kujua juzi tu kuwa upigaji mpira wa namna hii unaofanya rotation, ulianzishwa na Mbrazil mmoja (Arthur Friedenreich ) mwenye baba Mjeruman na mama Mbrazil (black). Jamaa alikuwa akijitahidi sana kuficha weusi wake. Ila jamaa ndiye aliyewafanya Wabrazil waanze kuupenda Mpira wa Miguu. Hadi leo anabaki mchezaji pekee aliyefunga magoli mengi mno (around 1300).
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=dwRYYeEk5Eg&NR=1"]YouTube- Roberto Carlos Impossible Goal[/ame]
Hili goal chini, Zidane anasema aliangalia mpira unavyopita, akainamisha kichwa chini na kuhuzunika kuwa huo mpira unaenda kumuuwa rafiki yake Bartez. Kweli Kipa alisimama tu.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=W5XpXU8TBoo"]YouTube- roberto carlos super goal[/ame]
Hapa bibie Marta akifanya Mambozi.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=Iba7RiOuvEQ"]YouTube- Brazil Marta Amazing Goal vs USA (World Cup China)[/ame]
Mpira mwingine uliopigwa na kutengeneza curve ni huu hapa chini, hapa ni Etoo.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=lEhONxEOy68"]YouTube- Eto'o best goal FC Barcelona[/ame]
Mwisho namaliza na Carlos Alberto. Hii ilikuwa ni mwaka 1970, World Cup huko Mexico kati ya Brazil na Italy. Brazil walifahamu kuwa back ya Italy si ya kuipita kiurahisi. Hivyo wakawa wamefanya mazoezi ya kupiga mashuti wakiwa mbaaali. Ila hii njia waliitumia mara moja tu kwenye goli la mwisho. Nafikiri ukiangalia ile nyumbani wanalia "niachieee....." utaona kuwa hapa kila kitu kilikuwa kimefanyiwa mazoezi mapema na hakuna cha niachie, just Eye Contact.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=NZkR5Wb2KQs&feature=related"]YouTube- Carlos Alberto 1970 wondergoal[/ame]
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=dwRYYeEk5Eg&NR=1"]YouTube- Roberto Carlos Impossible Goal[/ame]
Hili goal chini, Zidane anasema aliangalia mpira unavyopita, akainamisha kichwa chini na kuhuzunika kuwa huo mpira unaenda kumuuwa rafiki yake Bartez. Kweli Kipa alisimama tu.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=W5XpXU8TBoo"]YouTube- roberto carlos super goal[/ame]
Hapa bibie Marta akifanya Mambozi.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=Iba7RiOuvEQ"]YouTube- Brazil Marta Amazing Goal vs USA (World Cup China)[/ame]
Mpira mwingine uliopigwa na kutengeneza curve ni huu hapa chini, hapa ni Etoo.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=lEhONxEOy68"]YouTube- Eto'o best goal FC Barcelona[/ame]
Mwisho namaliza na Carlos Alberto. Hii ilikuwa ni mwaka 1970, World Cup huko Mexico kati ya Brazil na Italy. Brazil walifahamu kuwa back ya Italy si ya kuipita kiurahisi. Hivyo wakawa wamefanya mazoezi ya kupiga mashuti wakiwa mbaaali. Ila hii njia waliitumia mara moja tu kwenye goli la mwisho. Nafikiri ukiangalia ile nyumbani wanalia "niachieee....." utaona kuwa hapa kila kitu kilikuwa kimefanyiwa mazoezi mapema na hakuna cha niachie, just Eye Contact.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=NZkR5Wb2KQs&feature=related"]YouTube- Carlos Alberto 1970 wondergoal[/ame]