Magezeti ya Tanzania Mtandaoni:

Baba_Enock

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
7,076
2,443
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia uwepo wa magezeti ya Tanzania kwenye "Internet" kwa zaidi ya Miaka 10 na zaidi sasa - Na mimi ni mmojawapo wa wa-Tanzania wa kwanza kuchapisha gazeti moja kwenye "Internet" - tatizo langu kubwa ni kwamba uchapishaji wa haya magazeti mtandaoni umebakia kuwa "business as usual"! hakuna chembe ya ubunifu hata kidogo na wakati mwingi "websites" huwa hazipatikana:

Re: mwananchi.co.tz

jtablesession::Store Failed
DB function failed with error number 1062
Duplicate entry '1-' for key 2 SQL=INSERT INTO `jos_session` ( `session_id`,`time`,`username`,`gid`,`guest`,`client_id` ) VALUES ( 'f059c4e38ae0dfd39275b3f1142da011','1281364997','','0','1','0' )

Tatizo ni nini hasa?
 
Kama kawaida yetu watanzania, profession hazitiliwi maanani. Magazeti mengi yana cheap websites, zipo chini ya kiwango na hakuna web masters au consultants wa kuhakikisha uendelevu wa hizi tovuti. Kwa kifupi, wengi wanafanya tu, ila hawajui jinsi ya kufanya.

Ila sishangai sana kwa sababu watanzania mambo yetu mengi ni ya kubahatisha tu, bora liende.
 
Kama kawaida yetu watanzania, profession hazitiliwi maanani. Magazeti mengi yana cheap websites, zipo chini ya kiwango na hakuna web masters au consultants wa kuhakikisha uendelevu wa hizi tovuti. Kwa kifupi, wengi wanafanya tu, ila hawajui jinsi ya kufanya.

Ila sishangai sana kwa sababu watanzania mambo yetu mengi ni ya kubahatisha tu, bora liende.

Tuliwaita "NYANG'AU" sasa wameingia na ndio hao watatuamsha au tutaendelea kulala....siyo magazeti tu hebu pitia tovuti zetu za wizara nazo ni kichefu chefu mtupu
 
Back
Top Bottom