Jeshi zaidi,mshauri aende jeshini...magereza wala usimshauri labda kama ana target zake huko magereza!!!
dogo acha uoga hakuna kazi nyepesi katika maisha, na kmunataka ulaini nenda posta kalambe stamp, umenipata? au kafanye kazi ya laana ya kuokota chupa za uhai.
Wadau naomben msaada.Kozi ya uaskari magereza na jwtz ipi ngumu zaid?Nauliza kwa sababu dogo anataka kujiunga sehemu 1 kati ya hizo.huku uswahilin kuna maneno ya kutisha kuliko vitendo!MSAADA TAFADHARI
dogo acha uoga hakuna kazi nyepesi katika maisha, na kmunataka ulaini nenda posta kalambe stamp, umenipata? au kafanye kazi ya laana ya kuokota chupa za uhai.
Ni rahisi Askari magereza kuwa mfungwa kuliko Mfungwa kuwa askari magereza,ni mtazamo tu wakuu msijenge chuki zote kazi!