Magazeti ya michezo ya leo yadoda

steveachi

JF-Expert Member
Nov 7, 2011
9,570
10,275
Katika utafiti mdogo uliofanywa na mimi mwenyewe leo asubuhi,nimegundua kwamba magazeti ya MICHEZO mengi hayauziki kabisa kwani kama ujuavyo MEDIA nyingi za bongo zinashabikia mno YANGA na jana baada ya kupata kipigo kitakatifu kutoka kwa wakata miwa wa MTIBWA cha 3,0,wameshindwa kuwadanganya wapenzi wa huo UONGO wao, MY TAKE:Jamani waandishi wa habari za michezo,acheni kupamba sana WACHEZAJI hata kama hawana uwezo huo,MNAUA mpira,mtu anajiona kama C.Ronaldo kumbe KIAZI tu
 
Mi nafikiri uzi wako hauna logic yeyote ndani yake ni kama ulikuwa huelewi unataka kuleta ujumbe gani,what is your point? Magazeti ya leo kudoda au waandishi kupamba sana wachezaji/team? kwangu mimi nakubaliana na hoja yako ya magazeti ya leo hasa ya michezo kutouzika sana ksbb ya matokeo ya Yanga ya jana ukichukulia wengi wa wapenzi wa Yanga ni wanunuaji wa magazeti tofauti na wale wa Msimbazi ambao wao huongoza kusimama kwenye meza za magazeti kusoma bure
 
Mi nafikiri uzi wako hauna logic yeyote ndani yake ni kama ulikuwa huelewi unataka kuleta ujumbe gani,what is your point? Magazeti ya leo kudoda au waandishi kupamba sana wachezaji/team? kwangu mimi nakubaliana na hoja yako ya magazeti ya leo hasa ya michezo kutouzika sana ksbb ya matokeo ya Yanga ya jana ukichukulia wengi wa wapenzi wa Yanga ni wanunuaji wa magazeti tofauti na wale wa Msimbazi ambao wao huongoza kusimama kwenye meza za magazeti kusoma bure
Sisi hatununui magazeti kwa sababu kila siku yanaisifia Yanga na kuiponda Simba, ya nini utupe hela yako kununua habari zinazokuumiza.
 
Washabiki wa simba wao uwa awanunui magazeti wanachojua ni kwenda pale kwenye jengo lao wapeane habari...BILA YANGA HAKUNA MPIRA TANZANIA.
 
Hutaki tu kusema Yanga ina mashabiki wengi zaidi kuliko Simba?
 
Mi nafikiri uzi wako hauna logic yeyote ndani yake ni kama ulikuwa huelewi unataka kuleta ujumbe gani,what is your point? Magazeti ya leo kudoda au waandishi kupamba sana wachezaji/team? kwangu mimi nakubaliana na hoja yako ya magazeti ya leo hasa ya michezo kutouzika sana ksbb ya matokeo ya Yanga ya jana ukichukulia wengi wa wapenzi wa Yanga ni wanunuaji wa magazeti tofauti na wale wa Msimbazi ambao wao huongoza kusimama kwenye meza za magazeti kusoma bure
Sisi Simba huwa tunanunua na kusepa, yanga huwa wanasoma headlines tu na kubakia pale kuanza kudanganyana ndo maana jana wauza magazeti walipata fresh air sababu hawakuzingirwa na ulee umati wa Tuuite mbuyu
 
Muda mrefu hatujaona vichwa vya habari za michezo kama:
.......Nani kama Yanga
......Nani kumzuia Bahanuzi?
.......Twite aah wee acha tu
.......Kama sio Yanga na Israel aseme sasa
......Yanga yatisha
.......Yanga yatoa onyo kwa mnyama

Lakini sasa headlines ni:
....Yanga walala wawili wawili hotelini
.....Yanga waamua kujenga saluni yao Jangwani kujipamba
......kila mchezaji Yanga kuvaa kikuku mguu wa kulia
.......Yanga yafikiria kugeukia masumbwi
...... Cannavaro ajutia kutoenda Olimpiki na timu ya ngumi
 
Back
Top Bottom