kibokogiziba
Member
- Mar 18, 2011
- 48
- 1
kukosolewa ndo kukua acha kujaa fikra za ushabiki wa soka asiyependa timu yake iguswe hata kama wameshika kwa mkono ndani ya 18.
kubalini kukosolewa wakuu.
kubalini kukosolewa wakuu.
Wewe unadhani ulivyokuwa na akili ya kutumikishwa unadhani wote tupo hivyo! Wewe ndio una akili kama za kinda la bata ni kufata tu anachosema MboweAliyekutuma amekuambia uandike haya?