Ukitaka kugundua kwanin wanafanya hvyo angalia mikutano ,makongamano na maandamano ya CDM Yanashirikisha watu kibao tofauti na hao ccm! Hvyo wanaandika CDM kila siku ili wauze kaka kwani kila mtu anataka kujua kuna-ni CDM?! Ccm hakuna habari,ipi kujivua gamba au mtifuano wa uvccm! nani atanunua?!.