Magari ya Serikali wasiuziwe mabosi

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,525
Haya magari yamegharimu 200M+ hadi 400M+ kwa bei ya "kuuziana" yatanunuliwa kwa nusu ya bei halisi (hasara).

Hawa madereva mtawafukuza kupunguza wage bill?
Wazo langu ni kuyatoa TEMESA kila ofisi itafute garage yao kwa ajali ya service.

TEMESA wanapiga sana magari ya serikali hadi najiuliza hii ni taasisi ya UMMA au kuna wanufaika wachache wanaimiliki?

Gari service ya kawaida ya kumwaga oil ya engine na gearbox na kubadili oilfilter gharama inakuja si chini ya 500k.

Mafundi wao ni vilaza sometimes wanaokota vijana wa garage kuwasaidia kurekebisha baadhi ya mambo (najua hii maana nahusika).

Napinga hili maana ni kutupiga kama enzi za JPM na Mkapa walipouza nyumba za Serikali.

Haya magari hata wakiuziana mafuta yataendelea kugharimikiwana serikali kama ilivyo kwa magari ya WABUNGE.

Mengine ntaongezea baadae au asubuhi.
Mwenye ziada aendelee kuongezea

Hata hili la waliotenguliwa uteuzi kwenye vyeo vya uteuzi kama wakuu wa Taasisi, Wakuu wa Idara, Wakuu wa Mashirika ya Umama na Wakuu wa Wakala wa Serikali, kurudishwa kwenye nafasi zao za awali haliwezekani maana nafasi zimeshajazwa wage-bill itabaki palepale labda kwa wale watendaji ambao wakati wanateuliwa walitolewa sekta binafsi hao utumishi wao unakoma.
 
Yanaondolewa yote iwe kwanada au kwa vinginevyo..

Tutakachookoa ni kikubwa kuliko hasara unayoizungumzia wewe..

Madereva wakistaafu hakuna ajira mpya,wengi wa madereva ni WA mkataba kwa hiyo watalipwa Chao na wataondoka..

Iliwesekana kwa wahudumu na walinzinsembuse hili?
 
Yanaondolewa yote iwe kwanada au kwa vinginevyo..

Tutakachookoa ni kikubwa kuliko hasara unayoizungumzia wewe..

Madereva wakistaafu hakuna ajira mpya,wengi wa madereva ni WA mkataba kwa hiyo watalipwa Chao na wataondoka..

Iliwesekana kwa wahudumu na walinzinsembuse hili?
Kweli huna akili kabisa unajua kuna madereva wangapi as we speak tena vijana wenye miaka 25+ mbele ya utumishi? So watalipwa bila kazi for all those years?

Mambo mengine kama hujia usichangie, we mpigadebe wengine tupo kama watendaji tunakaaka waajiri wako kuwapamawazo usione tunafanana kwasababu tunabishana humu jamvini
 
Kweli huna akili kabisa unajua kuna madereva wangapi as we speak tena vijana wenye miaka 25+ mbele ya utumishi? So watalipwa bila kazi for all those years?

Mambo mengine kama hujia usichangie, we mpigadebe wengine tupo kama watendaji tunakaaka waajiri wako kuwapamawazo usione tunafanana kwasababu tunabishana humu jamvini
Kwamba watalipwa bila Kazi? Kwa hiyo waliajiriwa kukaa tuu au? Mbona unaongea upuuzi..

Status zako zinanisaidia Nini mimi? Na deal na contents zako we mbuzi joke..
 
Gari service ya kawaida ya kumwaga oil ya engine na gearbox na kubadili oilfilter gharama inakuja si chini ya 500k.

Service Cruiser VDJ200 V8
Oil filter 1pc 40,000
Diesel filter 1pc 70,000
Engine oil 10w30 12liter 270,000
Hapo inakuwa 380,000

Hiyo ni service kawaida, ukifanya service kubwa ongezea

Ac filter 1pc 80,000
Air filter 1pc 120,000
Gearbox oil WS 8liter 300,000
Hapo inakuwa 500,000

Ukijumlisha zote ni 880,000
 
Kwamba watalipwa bila Kazi? Kwa hiyo waliajiriwa kukaa tuu au? Mbona unaongea upuuzi..

Status zako zinanisaidia Nini mimi? Na deal na contents zako we mbuzi joke..
Kwa akili yako hayo magari yakiuzwa hawa madereva wataenda wapi au watapangiwa kazi gani? wawe wahudumu au walinzi?
 
Kwa akili yako hayo magari yakiuzwa hawa madereva wataenda wapi au watapangiwa kazi gani? wawe wahudumu au walinzi?
Ndio maana Nimekwambia pengine ulikuwa kwenye kende za baba yako wakati serikali inawaondoa walinzi na wahudumu kwenye utumishi wa Umma..

Wewe ndio unaonekana huna akili, maelezo ya Serikali ni kwamba intervention hiyo sio ubrupt bali gradual process ila kwa kuwa wewe ni kilaza huwezi elewa jambo dogo kama hili.
 
Sasa nimeamini nabishana na kilaza kwa taarifa yako wapo hadi leo hadi watakapo PHASE OUT kwa kustaafu kama hujui uwe unauliza, hawaajiri wapya ila waliopo bado wapo
Kilaza ni wewe,nimekuuliza ulisikia maelezo ya serikali? Waziri alisema nini Kuhusu hilo jambo?

Una kichwa kikubwa ila ubongo kama funza..Mimi ofisini kwetu hawapo na robo tatu ya odisinza umma hawapo labda huko kwako ndio wapo.
 
Haya magari yamegharimu 200M+ hadi 400M+ kwa bei ya "kuuziana" yatanunuliwa kwa nusu ya bei halisi (hasara).




Hata hili la waliotenguliwa uteuzi kwenye vyeo vya uteuzi kama wakuu wa Taasisi, Wakuu wa Idara, Wakuu wa Mashirika ya Umama na Wakuu wa Wakala wa Serikali, kurudishwa kwenye nafasi zao za awali haliwezekani maana nafasi zimeshajazwa wage-bill itabaki palepale labda kwa wale watendaji ambao wakati wanateuliwa walitolewa sekta binafsi hao utumishi wao unakoma.
watauziana kati ya milioni 5 na haitazidi 20
 
Back
Top Bottom