Kwahyo kwavile nyinyi hamjapata taarifa hiyo ndio sababu ya kukanusha maelezo yangu.?. Ajali imetokea barabara ya njombe Songea pana Miezi Miwili Sasa Imepita toka Hiyo Ajali Itokee.
Kaka achana na gharama sijui 1.3/1.4 za mitaani , ambao watu wanafunga kwa mitungi iliyotumika na kuipaka rangi ionekane mipya, na kuweka sticker zao ..sisi tunafunga brand new kwa 1.5m
Kwahyo kwavile nyinyi hamjapata taarifa hiyo ndio sababu ya kukanusha maelezo yangu.?. Ajali imetokea barabara ya njombe Songea pana Miezi Miwili Sasa Imepita toka Hiyo Ajali Itokee.
Kaka achana na gharama sijui 1.3/1.4 za mitaani , ambao watu wanafunga kwa mitungi iliyotumika na kuipaka rangi ionekane mipya, na kuweka sticker zao ..sisi tunafunga brand new kwa 1.5m
Mtungi una expire date, wanakuwa wanaificha, kwa kupaka rangi, na pia mtungi uliochoka hautakiwi kutumika. Wao wanabandika sticker kuonyesha muda wao wa ku expire world safety hairuhusu hiyo..
Nimeicheki ya mwaka 2011.. Milion 10.. Kuchek tra calculator, hakuna option ya umeme fuel type ni diesel kwa petrol tu.. Nimeweka petrol, nimechagua Cc 1001-1500.. Wakaniambia milioni 8 kasoro ndio za kwao.