Magari moja kwa moja toka Japan

Magari moja kwa moja toka Japan

Mkuu naweza pata suzuki swift kwa 5M?

Mkuu kwa kweli upo chin kidogo kwa bei hyo.... Ngoja tuendelee kuchek lakin kwa sasa ipo ya mwaka 2002 km 83000 kwa sh 8.8million. Ila nakushauri ongezaongeza ili ipatikane kiurahis na kwa haraka kidogo
 
ni pm kaka alafu kama unafanta biashara ya uwazi kwa nn usiweke number ya simu yako hapa tukakutwangia
 
ni pm kaka alafu kama unafanta biashara ya uwazi kwa nn usiweke number ya simu yako hapa tukakutwangia

Huwa natoa mkuu, ila kwa walio serious tu na ndo maana natoa kwa pm.
 
Mkuu kwa kweli upo chin kidogo kwa bei hyo.... Ngoja tuendelee kuchek lakin kwa sasa ipo ya mwaka 2002 km 83000 kwa sh 8.8million. Ila nakushauri ongezaongeza ili ipatikane kiurahis na kwa haraka kidogo
Mkuu hata mimi nahitaji hiyo swift but mbona bei yako ni very expensive sana?
 
Bei nafuu sana....

Toyota costa '93- 29m
Toyota corona premio-9.5m
Vitz 2000-8m
Ist 2002-12m
Kruger-19m
Prado '01-33m
Carina TI 7.5m

Na kadharika.... Serious buyers please ni-pm!!!


Plz kiongozi naomba picha za hiyo carina TI na toyota costa kama inawezekana.
 
Mkuu hata mimi nahitaji hiyo swift but mbona bei yako ni very expensive sana?

Mkuu unajua bei tunapanga kulingana na jins gar ilivyopatikana kule japan na mambo ya ushuru na kusafirisha, katika hali ya kawaida wewe ultegemea iwe/una shi ngapi mkuu?
 
Plz kiongozi naomba picha za hiyo carina TI na toyota costa kama inawezekana.

Mkuu picha za hizo gari niliziweka kwenye posts za hapo nyuma kidogo, ila ni vizur ufungue kwenye pc kwenye cm zinaweza zikagoma. Ukishindwa kabisa nambie mkuu
 
Mkuu unajua bei tunapanga kulingana na jins gar ilivyopatikana kule japan na mambo ya ushuru na kusafirisha, katika hali ya kawaida wewe ultegemea iwe/una shi ngapi mkuu?
I have 7.5M.
 
Kaka, hebu nipe mwongozo, Mitsubishi Rosa nitapata kwa Tsh ngapi? na je nikiisha toa Advance naweza kupewa hilo Gari, well in case mtaniruhusu kua na hilo Gari, baada ya muda gani natakiwa kumaliza deni?
 
Back
Top Bottom