Magari moja kwa moja toka Japan

Magari moja kwa moja toka Japan

Bei nafuu sana....

Toyota costa '93- 29m
Toyota corona premio-9.5m
Vitz 2000-8m
Ist 2002-12m
Kruger-19m
Prado '01-33m
Carina TI 7.5m

Na kadharika.... Serious buyers please ni-pm!!!


Kawaida ya gari ni miaka 4 tu kwa barabara za wenzetu hapa Bongo wiki mbili kwa barabara zetu. Sasa uje nunua gari la mwaka 1993 uje ulete Bongo si kujitakia presha tu? In short, haya magari yote yameoza na hayana nafasi huko kwao ndiyo maana wanaleta hapa Bongo kuja kuozeana na kujaza foleni barabarani.
 
Kawaida ya gari ni miaka 4 tu kwa barabara za wenzetu hapa Bongo wiki mbili kwa barabara zetu. Sasa uje nunua gari la mwaka 1993 uje ulete Bongo si kujitakia presha tu? In short, haya magari yote yameoza na hayana nafasi huko kwao ndiyo maana wanaleta hapa Bongo kuja kuozeana na kujaza foleni barabarani.

I take it nothing more than freedom of press!!
 
mkuu hongera sana.. upo very smart kwenye majibu yako.. kweli umejipanga kibiashara aisee.. sio
'post-and-run'
big up!!
 
Back
Top Bottom