Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,378
Umeacha gari fulani inaitwa Toyota Probox.
Iko flat kama chapati na angles kali kiasi ukipita vibaya inakutumbua.
Mkuu PJ.. mbona ndio kama ile yako??
Umeacha gari fulani inaitwa Toyota Probox.
Iko flat kama chapati na angles kali kiasi ukipita vibaya inakutumbua.
We hebu angalia hili..
View attachment 75344
Dah kwenye yoote ila kale kaNissan FunCargo ni noma! Kabaya kupitiliza
Hiki vipi.
Na vimeshaanza kuingia bongo. Vitasaidia sana kwenye suala la kupenyapenya foleni na suluhisho katika tatizo la parking mijini.
usimsikilize mshamba huyo. Spacio gari nzuri inavutia ndo maana zipo nyingi mjini. Hata Toyota wenyew wametoa 2nd na 3rd generation ya spacio. Zipo gari zinachekesha kama Terios, platz, toyota will lakini si Spacio.
We nunua tu mkuu ila ujue ndio hivyo tena. Km vipi bora ujipige pige uchukue ile nyuu modeli.
ok kuna mengne nmekubaliana na wewe but sio verossa.....u must b jokn chali wangu...hyo gali hujaiona ikiwa kwenye rangi na rimz za ukweli utadhan n bughati...alaf gari kama demu,ukisema wa mwenzio mbaya tuonyeshe kwanza wako alaf ndo tulinganshe na huyo unayesema mbaya..
fun cargo linaongoza kwa ubaya.
mimi kuna moja nduguye na spacio sijui linaitwa opa khaa! nae amekaa vby kama raba za watoto.
lkn hata noah imekaa kama kichwa cha nguruwe siriaz sijui kwann ziliundwa vile.
Nlidhani utaisahau hummer asee..huwa nashindwa kuelewa huyu jamaa aliyei-design alikuwa mzima au vipi
Umeniacha hoi.. Haya mavitu watu tunanunua tu lakini.. ukija kuliangalia vizuri huamini.
..Nimegundua wengi mnakapenda haka ka mnyama eh? FunCargo