TANZIA Magambo Makongoro Amefariki Dunia

Asante kwa ufafanuzi.
Tangu namuona Interchick, niliambiwa kwamba alitunzwa kwenye Familia ya Nyerere ila hawana Undugu.
Interchick alikuwepo pia Matare Joseph Nyerere kama sijachanganya Sirname na hivyo wengi walikuwa wanajua ukweli huo.
Ila nilikuwa sijajua uhusiano wao hadi kukaa na Nyerere yeye na Dr Abdallah (Mhaya) sijui?
Hata hivyo sijawahi kuifuatilia kwa ukaribu historia ya JK Nyerere na hivyo siwezi kusema lolote. Leo walau nimepata somo zaidi maana nilikuwa najua JKN na yeye ni kutoka Familia ya Mtemi.
 
Hii story ameandika nani?
 
First born Andrew Nyerere akili zimezidi zinampa shida.

Ile kichwa inatafsiri vitabu vya buddhism
 
First born Andrew Nyerere akili zimezidi zinampa shida.

Ile kichwa inatafsiri vitabu vya buddhism
Naam,

Andrew nilitafsiri naye Dhamapada kwenda Kiswahili nikamuachia kazi hiyo mimi nilipokwenda kusoma chuo New York City.

Dhamapada is a very nice Buddhist text, even my aunt, who is a Christian and knew nothing about Buddhism, when she read it, she loved the wisdom it carried.

Dhamapada ya Kiswahili nafikiri ipo pale kwa Rev. Pannasekara Buddhist Temple, Mindu Street, Upanga Dar es salaam.

Poppy Hatonn
 
Mzee nakuheshimu, lakini hayo ni mapungufu yako, pembe la ng'ombe halifichiki.
Dr. Matola upungufu upi?

Mimi nimesahihisha historia ya Mwalimu Julius Nyerere iliyokuwa na upungufu mkubwa katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Umesoma kitabu hiki: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika," Minerva Press London 1998?

Unajua historia ya kitabu hiki na athari yake katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika?

Unajua wasomi wangapi mabingwa wa historia ya Afrika wamekifanyia mapitio na mapitio hayo kuchapwa katika Cambridge Journal of African History?

Unajua maana ya kitabu kuingizwa kwenye Journal of African History?


View: https://youtu.be/bgMxDNdCv64?si=0K-TpgnRoygaskaz
 
Mwamba Andrew Nyerere ametambulisha rosary yake mpya na siyo Necklase, ni rosary ya 1008 beads.
 
Habari mimi ni Mtoto wa Makongoro marehemu naomba nipate contacts zako tunashida kidogo kwenye upande wa mirathi mke wa Marehemu anataka kutu dhulumu Mali za marehemu
 
Hivi una marafiki wakristo?
 
Ni nani aliyetangaza kifo cha Magambo?
Ni Mohammed Said yule historian?
The last time nimemwona Magambo ilikuwa katika msiba wa Rose Nyerere hapa Msasani.
Nilikuwa nimefika,at the same time Magambo akafika na bajaji
Tukaingia wote getini.
Halafu walikuwepo wanafamilia pale wanafanya kikao kuhusu maziko.
Nikawaambia,"Mtayarishie Magambo kiti hapo"
 
Habari mimi ni Mtoto wa Makongoro marehemu naomba nipate contacts zako tunashida kidogo kwenye upande wa mirathi mke wa Marehemu anataka kutu dhulumu Mali za marehemu
Mkuu ni mke mkubwa au mdogo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…