Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Babu, hivi kweli Tanzania hii ndio kusema unashtukia fani ya huyu mbunge wa Kinondoni, wa Ilala na hata yule mtahiki meya wa kule Ilala wa hapo kipindi cha nyuma kidogo??????
Ngoja siku tuje tukatandaze listi nzima humu wa wazee wa mihadarati nchini ndipo utakapokosa kabisa pumsi.
Ngoja siku tuje tukatandaze listi nzima humu wa wazee wa mihadarati nchini ndipo utakapokosa kabisa pumsi.
Nilikuwa nasoma gazeti la Tanzania daima leo, nikakutana na kitu cha ajabu!
Inadaiwa katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam bwana Kilumbe Ng'enda amemtuhumu mbunge wa Kinondoni bwana IDD AZZAN kuwa ni muuza dawa za kulevya hivyo aache kuwa nyooshea vidole vingozi wa mkoa kuwa wajivue gamaba kwani nayeye si mwanminifu.....
Jamani, sasa CCM inazidi kutufunulia jinsi livyo, kumbe inaviongozi wa ajabu hivi!