Masikini Jeuri
Member
- Jan 13, 2008
- 37
- 4
Huyu Idd Azzan atakuwa aliongea jambo ambalo analifahamu juu ya ufisadi, hawezi kuropoka tu..lakini kwa kuwa ni mwoga na nahisi anaogopa kupoteza madaraka yake amekubali yaishe.
Alikuwa hafahamu kuwa JK ni kinyonga, akajiingiza kichwa kichwa. Jk keshapiga chenga na kurejea kukumbatiana na magamba!
amaa, we ulkuwa hujui?
Nilikuwa nasoma gazeti la Tanzania daima leo, nikakutana na kitu cha ajabu!
Inadaiwa katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam bwana Kilumbe Ng'enda amemtuhumu mbunge wa Kinondoni bwana IDD AZZAN kuwa ni muuza dawa za kulevya hivyo aache kuwa nyooshea vidole vingozi wa mkoa kuwa wajivue gamaba kwani nayeye si mwanminifu.....
Jamani, sasa CCM inazidi kutufunulia jinsi livyo, kumbe inaviongozi wa ajabu hivi!
Mkuu kweli! nilikuwa sijui!
Sasa kwanini walimruhusu kugombea ubunge mtu mwovo kiasi hicho? da! wanamagamba bwana!
haaaaaaaaaaa mbona hajakamatwa hadi sasa... polisi mmesikia hiyo, je mpo? shahidi wa kumtia mbaroni Azan amepatikana ni katibu wa CCM Dar es salaam
Mkuu kweli! nilikuwa sijui!
Sasa kwanini walimruhusu kugombea ubunge mtu mwovo kiasi hicho? da! wanamagamba bwana!
Mfanya biashara mkubwa Nguli wa madawa ya kulevya hata pale Magogoni wanajua!
Mfanya biashara mkubwa Nguli wa madawa ya kulevya hata pale Magogoni wanajua!