Magamba si mchezo: Idd Azzan aomba radhi CCM!

Magamba si mchezo: Idd Azzan aomba radhi CCM!

Sio huyo tu, hata Zungu anahusika sana, muulize JK, anayo orodha yao....!
 
Taifa, ninavyosema kuwa sisiema ni nzuri naanisha kuwa chama chochote kile lazima kiwe na katiba, miongozo ya katiba hiyo pia na taratibu za uendeshaji. Lakini pia ktk kushika hatamu, masuala ya Sera na ilan lazima yawepo.. Katika haya niliyoyaongelea CCM IMEKAMILIKA NA IKO SAFI... Ambapo hata wewe mh. TAIFA leo ukibahatika kuwa mwanachama au kiongozi wa chama hicho hakuna kipengele cha katiba kitakachokuzuia usifanye UADILIFU.. Ukosefu wako wa maadili ni jambo lako binafsi kama binadamu...Kwe kama mtu ni handsome au beautiful katika uasilia wake hauwezi mtoa dosari ya urembo wake eti sababu ya uchakavu wa nguo zake alizovaa kwa sababu ya maisha duni anayoishi. Ngun ni ya kubadiri lakin kamwe sura na umbo hauwezivibadili abadani.
 
Tena nahisi maeneo ya kinondoni ndiyo yanayoongoza kwa kuwa na mateja wengi. Uipita ple kituoni manyanya unawakuta mateja wengi,wamelala chini, wengine wanasinzia mchana kweupe, kama nchi hii haina polisi au madawa ya kulevya yamepigwa marufuku.
 
charlie bravo...alpha zulu, siwapati hewani..please revert on this issue and update me directly.
 
sasa wanajamii kama mtu yuko kwenye chama na haruhusiwi kumtuhumu mwenzake ndani ya chama hicho hicho maana yake nini? Kumbe ndo maana mambo yanaharibika tu ndani ya chama kwa kuwa ni kosa kumwambia yule aliyekosea ukweli!!!! Hii ni kanuni au sheria gani katika karne hii tuliyomo jamani?? Hapa kweli panahitaji elimu kulijua hili kuwa ni tatizo ndani ya chama chetu jamani? Kwa nini wakuu mlioko kwenye CC hamlioni hili? Au kwa vile kanuni hizi zinafanikisha ninyi mlioko juu kuwa miungu watu kwenye chama chetu? kwa hali hii chama kikifa tutatafuta mchawi? Wakati sheria na kanuni zetu zinatuloga wenyewe? Jamani fungueni macho muone, mchana kweupe mnajifanya kufunga macho ili msione??? Mungu atawalaani asilani..........

kany, elewa kuwa CHAMA KINA TARATIBU ZAKE.. Kosa la AZANI ni kuinua mdomo wake kupitia vyombo vya habari kukisemea CHAMA, yeye si msemaji wa chama na wala hakuwa na paraka ya chama kuongea hayo... Anaruhusiwa na yuko huru kufanya hizo tuhuma kupitia vikao maalumu vya cham pia kupitia kamati za nidhamu za chama. Ili kwa kutoa tuhuma hizo uchunguzi ufanyike, atoe ushahidi wake na mtuhumiwa apewe nafasi ya kujitetea...ili HAKI itendeke.
 
Idd Azan na biashara ya Miadarati mbona sio kitu kigeni! Ni sawa na kusema eti siku hizi Papa anasali.

Huyu jamaa mbona anajulikana muda mrefu kuwa hiyo ndio biashara yake kubwa.
 
Pamoja na kwamba mimi si mwananchama wa Chama Cha Magamba, huo uongozi wa CCM mkoa unatakiwa kujiuzuru. Imekuwaje muuza madawa ya kulevya kupitishwa na vikao kupitishwa kugombea ubunge?
 
DU! Hiyo kali sana.......ndo wanaendelea kuvuana magamba
 
Tena nahisi maeneo ya kinondoni ndiyo yanayoongoza kwa kuwa na mateja wengi. Uipita ple kituoni manyanya unawakuta mateja wengi,wamelala chini, wengine wanasinzia mchana kweupe, kama nchi hii haina polisi au madawa ya kulevya yamepigwa marufuku.

Kuna siku moja niliwahi kuwauliza wale vijana wanaouza madawa pale Ilala inakuwaje hawakamatwi na polisi wakati ni sehemu maarufu inayojulikana? Wakaniambia kwamba Polisi wana namba zao za simu. Siku Polisi wanapoenda kuwakamata wanawaandalia mshiko wa elfu 50 wanagawana. Sasa hata Polisi wenyewe sometimes wanageukana, wakati mwingine wakiwa wanakwenda kuwakamata ili wapate mshiko, mmoja wa wale Polisi anawatumia meseji waondoke haraka ili wasiwakute. Akishafanya hivyo jioni anawapitia peke yake wanampa elfu 30.

Hao ndio Polisi wetu.
 
CCM MKOA WA DAR-S-ES SALAAM.......................KILUMBE NG'ENDA wewe kama katibu wa CCM MKOA ulikuwa wapi siku zote kusema haya unayoyasema leo kama sio UNAFIKI NA UZANDIKI ULIOTUKUKA KWAKO? mimi nilidhani kipara chako kitakujenga uwe na BUSARA/HEKIMA kumbe wewe ZUMBUKUKU ULIMWENGU UKO HUKU, KILUMBE WEWE KATIBU WA SEKRETARIETI YA MKOA na MJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI MKOA ulikuwa wapi siku zote kuyasema hayo? kwanza nimegundua wewe sio muadilifu kabisa na hufai kuwa KIONGOZI MAANA WEWE NI MTAWALA. Najua hujui nini maana ya haya maneno uliwekwa hapo na MSHAMBAA YUSUPHU MAKAMBA kutimiza malengo yake sasa leo hayupo jiandae soon ok.

- wewe kama kiongozi ulitakiwa wakati ule kumlipua IDDI AZZAN asichukue hata fomu kwa kuwa ni mchafu, sasa unapoibuka leo na kuleta FITINA ZAKO CHAFU WENYE AKILI TIMAMU HATUKUELEWI JARIBU KUWA MKWELI KIDOGO.

- WEWE NI MALAYA WA KUTUPA KATIKA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA DAR-ES-SALAAM nataja wanawake zako baadhi.

1.ANGELA CHARLES KIZIGHA..(mgombea ubunge KAWE/CCM na kushindwa)
2.SHYROSE BHANJI- (AFISA UHUSIANO NMB/Mgombea ubunge KINONDONI CCM na kundindwa na IDDI AZZAN sasa naona mnashare huyo
demu na SUGU MOTO CHINI akipiga leo ww unapiga kesho)
3. MTOTO WA KIMBAU[/COLOR] -( aligombea udiwani kata ya MAKUBULI CCM huyu mnashare na mwenyekiti wako wa mkoa GUNINITA BILA WEWE KUJUA, kata hii imechukuliwa na CHADEMA KWA KUENDEKEZA KWENU MAPENZI wapumbavu wakubwa nyie)

KILIMBE NG'ENDA WEWE unapomtuhumu mwenzi IDDI AZZAN kwamba MPOPO kitaaluma anaitwa mpopo UNAMAANISHA NINI? mbona wewe ilikuwa na deal zenu hizo hizo na MAREHEMU MOHAMMED MPANJIA? AU UNADHANI HAIFAHAMIKI? tunafaham ila tunakuangalia tu na sasa unamsaidia BUJUGO mwenye shule ya CREEN ACRES KUFANIKISHA MAMBO YAKE, ULIMSAIDIA APATE UDIWANI MAGOMENI BAADA YA KUKUHONGA MILIONI 18 CHEKI IPO SIKU UKINYANYUA MDOMO WAKO NITAITAJA NAMBA NA WATANZANIA WANAOJUA UHASIBU WAKAIHAKIKI..............mpumbavu mkubwa wewe acha majungu nimeapa kuzaa na nyie wote mnaokichafua chama cha mapinduzi.

-wewe ni mfuasi wa KUNDI LA MAFISADI acha kuropoka ropoka tulia subiri upate barua yako utulie KILUMBE.

-ALUTA KONTINUA.
 
sio huyo tu, hata zungu anahusika sana, muulize jk, anayo orodha yao....!

ina maana jina zungu ni zungu la unga? Tetesi hizi nilizisikia siku nyingi bila shaka zina ukweli wake, anaishi kimjinimjini.....
 
CCM MKOA WA DAR-S-ES SALAAM.......................KILUMBE NG'ENDA wewe kama katibu wa CCM MKOA ulikuwa wapi siku zote kusema haya unayoyasema leo kama sio UNAFIKI NA UZANDIKI ULIOTUKUKA KWAKO? mimi nilidhani kipara chako kitakujenga uwe na BUSARA/HEKIMA kumbe wewe ZUMBUKUKU ULIMWENGU UKO HUKU, KILUMBE WEWE KATIBU WA SEKRETARIETI YA MKOA na MJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI MKOA ulikuwa wapi siku zote kuyasema hayo? kwanza nimegundua wewe sio muadilifu kabisa na hufai kuwa KIONGOZI MAANA WEWE NI MTAWALA. Najua hujui nini maana ya haya maneno uliwekwa hapo na MSHAMBAA YUSUPHU MAKAMBA kutimiza malengo yake sasa leo hayupo jiandae soon ok.

- wewe kama kiongozi ulitakiwa wakati ule kumlipua IDDI AZZAN asichukue hata fomu kwa kuwa ni mchafu, sasa unapoibuka leo na kuleta FITINA ZAKO CHAFU WENYE AKILI TIMAMU HATUKUELEWI JARIBU KUWA MKWELI KIDOGO.

- WEWE NI MALAYA WA KUTUPA KATIKA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA DAR-ES-SALAAM nataja wanawake zako baadhi.

1.ANGELA CHARLES KIZIGHA..(mgombea ubunge KAWE/CCM na kushindwa)
2.SHYROSE BHANJI- (AFISA UHUSIANO NMB/Mgombea ubunge KINONDONI CCM na kundindwa na IDDI AZZAN sasa naona mnashare huyo
demu na SUGU MOTO CHINI akipiga leo ww unapiga kesho)
3. MTOTO WA KIMBAU[/COLOR] -( aligombea udiwani kata ya MAKUBULI CCM huyu mnashare na mwenyekiti wako wa mkoa GUNINITA BILA WEWE KUJUA, kata hii imechukuliwa na CHADEMA KWA KUENDEKEZA KWENU MAPENZI wapumbavu wakubwa nyie)

KILIMBE NG'ENDA WEWE unapomtuhumu mwenzi IDDI AZZAN kwamba MPOPO kitaaluma anaitwa mpopo UNAMAANISHA NINI? mbona wewe ilikuwa na deal zenu hizo hizo na MAREHEMU MOHAMMED MPANJIA? AU UNADHANI HAIFAHAMIKI? tunafaham ila tunakuangalia tu na sasa unamsaidia BUJUGO mwenye shule ya CREEN ACRES KUFANIKISHA MAMBO YAKE, ULIMSAIDIA APATE UDIWANI MAGOMENI BAADA YA KUKUHONGA MILIONI 18 CHEKI IPO SIKU UKINYANYUA MDOMO WAKO NITAITAJA NAMBA NA WATANZANIA WANAOJUA UHASIBU WAKAIHAKIKI..............mpumbavu mkubwa wewe acha majungu nimeapa kuzaa na nyie wote mnaokichafua chama cha mapinduzi.

-wewe ni mfuasi wa KUNDI LA MAFISADI acha kuropoka ropoka tulia subiri upate barua yako utulie KILUMBE.

-ALUTA KONTINUA
 
mkuu lampard hujakanusha kuhusu iddi azan na zungu, hata majambazi yanajulikana kwa kutajana , hatujali hayo: Huyo kimbulu ng,onda amemleta nani hapo, au makamba
 
magamba magumu sana yaani kujivua ni balaaa (RACHEL) ni noma
 
CCM MKOA WA DAR-S-ES SALAAM.......................KILUMBE NG'ENDA wewe kama katibu wa CCM MKOA ulikuwa wapi siku zote kusema haya unayoyasema leo kama sio UNAFIKI NA UZANDIKI ULIOTUKUKA KWAKO? mimi nilidhani kipara chako kitakujenga uwe na BUSARA/HEKIMA kumbe wewe ZUMBUKUKU ULIMWENGU UKO HUKU, KILUMBE WEWE KATIBU WA SEKRETARIETI YA MKOA na MJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI MKOA ulikuwa wapi siku zote kuyasema hayo? kwanza nimegundua wewe sio muadilifu kabisa na hufai kuwa KIONGOZI MAANA WEWE NI MTAWALA. Najua hujui nini maana ya haya maneno uliwekwa hapo na MSHAMBAA YUSUPHU MAKAMBA kutimiza malengo yake sasa leo hayupo jiandae soon ok.

- wewe kama kiongozi ulitakiwa wakati ule kumlipua IDDI AZZAN asichukue hata fomu kwa kuwa ni mchafu, sasa unapoibuka leo na kuleta FITINA ZAKO CHAFU WENYE AKILI TIMAMU HATUKUELEWI JARIBU KUWA MKWELI KIDOGO.

- WEWE NI MALAYA WA KUTUPA KATIKA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA DAR-ES-SALAAM nataja wanawake zako baadhi.

1.ANGELA CHARLES KIZIGHA..(mgombea ubunge KAWE/CCM na kushindwa)
2.SHYROSE BHANJI- (AFISA UHUSIANO NMB/Mgombea ubunge KINONDONI CCM na kundindwa na IDDI AZZAN sasa naona mnashare huyo
demu na SUGU MOTO CHINI akipiga leo ww unapiga kesho)
3. MTOTO WA KIMBAU[/COLOR] -( aligombea udiwani kata ya MAKUBULI CCM huyu mnashare na mwenyekiti wako wa mkoa GUNINITA BILA WEWE KUJUA, kata hii imechukuliwa na CHADEMA KWA KUENDEKEZA KWENU MAPENZI wapumbavu wakubwa nyie)

KILIMBE NG'ENDA WEWE unapomtuhumu mwenzi IDDI AZZAN kwamba MPOPO kitaaluma anaitwa mpopo UNAMAANISHA NINI? mbona wewe ilikuwa na deal zenu hizo hizo na MAREHEMU MOHAMMED MPANJIA? AU UNADHANI HAIFAHAMIKI? tunafaham ila tunakuangalia tu na sasa unamsaidia BUJUGO mwenye shule ya CREEN ACRES KUFANIKISHA MAMBO YAKE, ULIMSAIDIA APATE UDIWANI MAGOMENI BAADA YA KUKUHONGA MILIONI 18 CHEKI IPO SIKU UKINYANYUA MDOMO WAKO NITAITAJA NAMBA NA WATANZANIA WANAOJUA UHASIBU WAKAIHAKIKI..............mpumbavu mkubwa wewe acha majungu nimeapa kuzaa na nyie wote mnaokichafua chama cha mapinduzi.

-wewe ni mfuasi wa KUNDI LA MAFISADI acha kuropoka ropoka tulia subiri upate barua yako utulie KILUMBE.

-KAOMBA RADHI LAKINI HUYO NDIO KILUMBE NG'ENDA -KATIBU WA MKOA CCM BONGO/DRA ES SALAM.

-ALUTA KONTINUA
 
CCM MKOA WA DAR-S-ES SALAAM.......................KILUMBE NG'ENDA wewe kama katibu wa CCM MKOA ulikuwa wapi siku zote kusema haya unayoyasema leo kama sio UNAFIKI NA UZANDIKI ULIOTUKUKA KWAKO? mimi nilidhani kipara chako kitakujenga uwe na BUSARA/HEKIMA kumbe wewe ZUMBUKUKU ULIMWENGU UKO HUKU, KILUMBE WEWE KATIBU WA SEKRETARIETI YA MKOA na MJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI MKOA ulikuwa wapi siku zote kuyasema hayo? kwanza nimegundua wewe sio muadilifu kabisa na hufai kuwa KIONGOZI MAANA WEWE NI MTAWALA. Najua hujui nini maana ya haya maneno uliwekwa hapo na MSHAMBAA YUSUPHU MAKAMBA kutimiza malengo yake sasa leo hayupo jiandae soon ok.

- wewe kama kiongozi ulitakiwa wakati ule kumlipua IDDI AZZAN asichukue hata fomu kwa kuwa ni mchafu, sasa unapoibuka leo na kuleta FITINA ZAKO CHAFU WENYE AKILI TIMAMU HATUKUELEWI JARIBU KUWA MKWELI KIDOGO.

- WEWE NI MALAYA WA KUTUPA KATIKA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA DAR-ES-SALAAM nataja wanawake zako baadhi.

1.ANGELA CHARLES KIZIGHA..(mgombea ubunge KAWE/CCM na kushindwa)
2.SHYROSE BHANJI- (AFISA UHUSIANO NMB/Mgombea ubunge KINONDONI CCM na kundindwa na IDDI AZZAN sasa naona mnashare huyo
demu na SUGU MOTO CHINI akipiga leo ww unapiga kesho)
3. MTOTO WA KIMBAU[/COLOR] -( aligombea udiwani kata ya MAKUBULI CCM huyu mnashare na mwenyekiti wako wa mkoa GUNINITA BILA WEWE KUJUA, kata hii imechukuliwa na CHADEMA KWA KUENDEKEZA KWENU MAPENZI wapumbavu wakubwa nyie)

KILIMBE NG'ENDA WEWE unapomtuhumu mwenzi IDDI AZZAN kwamba MPOPO kitaaluma anaitwa mpopo UNAMAANISHA NINI? mbona wewe ilikuwa na deal zenu hizo hizo na MAREHEMU MOHAMMED MPANJIA? AU UNADHANI HAIFAHAMIKI? tunafaham ila tunakuangalia tu na sasa unamsaidia BUJUGO mwenye shule ya CREEN ACRES KUFANIKISHA MAMBO YAKE, ULIMSAIDIA APATE UDIWANI MAGOMENI BAADA YA KUKUHONGA MILIONI 18 CHEKI IPO SIKU UKINYANYUA MDOMO WAKO NITAITAJA NAMBA NA WATANZANIA WANAOJUA UHASIBU WAKAIHAKIKI..............mpumbavu mkubwa wewe acha majungu nimeapa kuzaa na nyie wote mnaokichafua chama cha mapinduzi.

-wewe ni mfuasi wa KUNDI LA MAFISADI acha kuropoka ropoka tulia subiri upate barua yako utulie KILUMBE.

-ALUTA KONTINUA
 
Back
Top Bottom