Wasusujane
Member
- Mar 25, 2011
- 18
- 6
Wana JF,
Kesho wazee wa magamba wanaadhimisha miaka 35 ya umri wao, maadhimiso hayo yanafanyika Katika uwanja wa ccm Kirumba Mwanza, kwa kuhofia kuaibika na kukosa watu wa kutosha, gari la matangazo ya maadhimisho hayo linapita mitaani na kuwatangazia watu kuhudhuria maadhimisho hayo huku likisisitiza kuwa kutakuwepo na chakula cha kutosha, taarifa zinasema wanachinja ng'ombe 14 kwa ajili ya kuwalisha watu uwanjani.
My take.
Kama kimefika mahali pa kutumia chakula ilikipate watu wa kuhudhuria maonyesho yao, pamoja na wasanii kibao, kwa hakika hii ni lala kwa buriani kwa chama hiki.
Kesho wazee wa magamba wanaadhimisha miaka 35 ya umri wao, maadhimiso hayo yanafanyika Katika uwanja wa ccm Kirumba Mwanza, kwa kuhofia kuaibika na kukosa watu wa kutosha, gari la matangazo ya maadhimisho hayo linapita mitaani na kuwatangazia watu kuhudhuria maadhimisho hayo huku likisisitiza kuwa kutakuwepo na chakula cha kutosha, taarifa zinasema wanachinja ng'ombe 14 kwa ajili ya kuwalisha watu uwanjani.
My take.
Kama kimefika mahali pa kutumia chakula ilikipate watu wa kuhudhuria maonyesho yao, pamoja na wasanii kibao, kwa hakika hii ni lala kwa buriani kwa chama hiki.