Kwa sababu inaonyesha umejazwa na Propaganda mbaya dhidi ya Wayahudi huwezi kuamini kuwa dini ya Kiyahudi inapinga Ushoga na serikali ya Israel ime-legalize tu Ushoga lakini hai- Promote huo ushoga.
Kuhusu msingi wa Oct 07,2023 nafikiri ukiwauliza Hamas wanaweza kukupa jibu zuri lakini mimi siwezi kukupa jibu sana sana nitakuwa nakisia tu. Maswali ya kwa nini Hamas walivamia Israel mimi ni ngumu sana kujua.
Kuhusu kuzembea kwa askari wa Israel mpaka kukasababisha Oct 07,2023 huko ni kuzembea tu hakuna sababu wao walizembea ndiyo maana magaidi hao walitumia Mwanga huo kufanya Ubakaji,Utekaji na mauaji siku hiyo!!!
Nchi nyingi za kiarabu halikuwa za kufanya lolote kwa sababu hazikuwatuma wa amie Israel hivyo ni haki yao kuangalia tu maana hawakuwatuma magaidi hao.
Ni kweli kabisa Gaza inaangamia kwa sababu Hamas wanawang’ang’ania mateka wa Israel wala si vinginevyo!!