Magaidi wa Hamas watoa video ya propaganda

Magaidi wa Hamas watoa video ya propaganda

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,210
Reaction score
6,257
Magaidi wa Hamas watoa video ya Propaganda baada ya kuona kipigo kwa magaidi hao kimezidi. Wamesahau kuwa ISRAEL HAITISHIWI NYAU!!
 
Kichwa maji kama wewe ambaye hujui hata nani anayepiga Propaganda uta węża je kujua au kutofautisha kati ya ukweli na Propaganda? Kwa ujinga wako huo huwezi kujua!!
Ha ha ha ha

He he he he

💉💉 geuza tako sasa

Bora mie kichwani nina maji, ubongo ni maji 90% ww fuvu ni tupu

Chukua kipondo hicho.
 
Ha ha ha ha

He he he he

💉💉 geuza tako sasa

Bora mie kichwani nina maji, ubongo ni maji 90% ww fuvu ni tupu

Chukua kipondo hicho.
Ni vigumu wewe kutofautisha mambo!!
 

Attachments

  • v09044g40000cvqgfinog65pg8jn40ig.mp4
    1.5 MB
Jamaaa anakonda na Gaza na IRAN !!!!! Ikiwa tunapaswa kuwapa pole watu wa Gaza basi na uyu tusimsisaau nae ni ktk Watesekaji wakubwa !!!!

mambo ya ile pande anatamani tu asikie watu wa Gaza wameondoka wote kuelekea Misri au Wameuwawa wote mana anawaita Magaidi !!!!

tumaini lake lengine kusikia IRAN inashambuliwa Vikali iyo Siku Atalala kashika Simu !!! kelo yake kuu iyo Siku ni maitaji ya mwili kwenda chooni!!!!!!!
 
Palestine will never bow down to colonialists.
Watapigana miaka na miaka kulinda utambulisho wao na nchi yao.
From land to the sea Palestine will be free
 
Kwa mauaji ya kutisha waliyoyafanya Oct 07,2023 naunga mkono wote wahamishwe au wauwawe kama wao walivyoua watu 1,200 kwa siku moja. Sioni sababu ya kuwaonea huruma vibaka kama hao ambao mpaka sasa hivi wameshikilia mateka na wameshikilia Maiti za watu na hawataki kuachia mateka wala zile Maiti watu kama kuna haja gani kuwaonea huruma? Iran ndiye mfadhili wa Magaidi wa Hamas.Hezboullah na Houth na ndiye aliyefanikisha na kuwawezesha magaidi hao kufanya Ubakaji,Utakaji na mauaji ya watu wasio na hatia siwezi kulia wakati Iran itashambuliwa bali nitaimba sana Mapambio ya kumsifu Mungu kwa kufanikisha mkuu wa Magaidi kupigwa!!
 
Kwa mauaji ya kutisha waliyoyafanya Oct 07,2023 naunga mkono wote wahamishwe au wauwawe kama wao walivyoua watu 1,200 kwa siku moja. Sioni sababu ya kuwaonea huruma vibaka kama hao ambao mpaka sasa hivi wameshikilia mateka na wameshikilia Maiti za watu na hawataki kuachia mateka wala zile Maiti watu kama kuna haja gani kuwaonea huruma? Iran ndiye mfadhili wa Magaidi wa Hamas.Hezboullah na Houth na ndiye aliyefanikisha na kuwawezesha magaidi hao kufanya Ubakaji,Utakaji na mauaji ya watu wasio na hatia siwezi kulia wakati Iran itashambuliwa bali nitaimba sana Mapambio ya kumsifu Mungu kwa kufanikisha mkuu wa Magaidi kupigwa!!
Kwa nini hukuimba mapambio wkt Zumaridi aliposema alienda mbinguni na akaonana na Yesu...leo hii uimbe mapambio ya mbali huko...hapo hapo waraka wa Papa Francis pia hukuimba mapambio
 
Kwa nini hukuimba mapambio wkt Zumaridi aliposema alienda mbinguni na akaonana na Yesu...leo hii uimbe mapambio ya mbali huko...hapo hapo waraka wa Papa Francis pia hukuimba mapambio
Zumaridi na huyo Papa Francis wana Kuhusu wewe mimi hawanihusu
 
Magaidi wa Hamas watoa video ya Propaganda baada ya kuona kipigo kwa magaidi hao kimezidi. Wamesahau kuwa ISRAEL HAITISHIWI NYAU!!
View attachment 3306612
WE mchoko wa .Mombasa.utasumbuka sana, hivi Wajerumani na Wafaransa hawaji kutembea Mombasa tena uko kuleta topic za kujisimbua tu. Nani aliye kuambia Hamas kisha, huyo atakuwa ni kichaa tu kama wewe, nenda kajianike kama kambale umewacha.mdomo wazi unaweza kupata mteja tukapumzika na ujinga wako.
 
WE mchoko wa .Mombasa.utasumbuka sana, hivi Wajerumani na Wafaransa hawaji kutembea Mombasa tena uko kuleta topic za kujisimbua tu. Nani aliye kuambia Hamas kisha, huyo atakuwa ni kichaa tu kama wewe, nenda kajianike kama kambale umewacha.mdomo wazi unaweza kupata mteja tukapumzika na ujinga wako.
Mtanyooka tu!!
 
Back
Top Bottom