Mafuta ya UBUYU YANAUZWA

Mafuta ya UBUYU YANAUZWA

Bajabiri

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
9,728
Reaction score
1,213
Habari wadau,mafuta yaliyokamuliwa kutokana na mbegu za UBUYU yanapatikana,lita moja ni shilingi elfu 30 tu.
Kwa mawasiliano zaidii
piga simu namba zifuatazo:
0712385456
0713890628
 
Yana kazi gani? Cja kejeli bali nataka kujua
 
Habari wadau,mafuta yaliyokamuliwa kutokana na mbegu za UBUYU yanapatikana,lita moja ni shilingi elfu 30 tu.
Kwa mawasiliano zaidii
piga simu namba zifuatazo:
0712385456
0713890628

Unapatikana mji gani? Au hiyo bei ni pamoja na usafiri kwa walio mikoani?
 
Unapatikana mji gani? Au hiyo bei ni pamoja na usafiri kwa walio mikoani?

mafuta yanapatikana dar na dodoma,ila yapozalishwa ni DODOMA,dar utaletewa ila baada ya kutoa ODA
 
Mafuta haya yanafaida kadhaa
-yana vitamin A,D,E na F
-yana Omega 3,6,9
-yanatibu dry and damaged skim
-yanasaida regeneration of cell
 
Weka oda upatiwe,kwa watu wa dar mzigo upo
 
View attachment 73707

packing yenu iko vipi? nimeona haya mafuta yanauzwa mitaani wame-pack kwenye chupa za valuer na vichupa vingine vidogo vilivyoisha chilli source

mnahitaji kuimarisha packaging

nnaweza kuwasaidia kupata machine ya kupack mafuta haya kwenye sachet/bag three side sealing PEP material kama hapo juu .... volume 50-100mls

this machine can fill and pack liquids ... capacity 60 bags/minute
 
Hata pale kituo cha mabasi cha Mlimani City ukitokea Ubungo barabara ya Mandela kuna jamaa anauza,sasa sijui yana ubora au ndio walewale
 
Back
Top Bottom