mkuu habari yako imekaa kiumbea zaidi...ukisema ulinunua mafuta oilcom ipi,lini na matokeo yake yakawaje itakuwa vyema sana kuliko kusema juu juu hivyo.
nasema hivi kwani nimeshawahi weka mafuta kwenye filling station ya oilcom na sijaona tatizo.
Inategemea umefill aina gani ya gari kama ni Landrover 09 its ok lakini kwa gari kama Volkswagen Touareg huwezi tembea hata km tano kwa mafuta ya kuchakachuliwa, OIL COM na BIG BON ni wezi period.
mkuu habari yako imekaa kiumbea zaidi...ukisema ulinunua mafuta oilcom ipi,lini na matokeo yake yakawaje itakuwa vyema sana kuliko kusema juu juu hivyo.
nasema hivi kwani nimeshawahi weka mafuta kwenye filling station ya oilcom na sijaona tatizo.
[HTML][B]Re: Mafuta ya oilcom yana maji muwemakini na magari yenu!! [/B]
mkuu habari yako imekaa kiumbea zaidi...ukisema ulinunua mafuta oilcom ipi,lini na matokeo yake yakawaje itakuwa vyema sana kuliko kusema juu juu hivyo.
nasema hivi kwani nimeshawahi weka mafuta kwenye filling station ya oilcom na sijaona tatizo[/HTML][FONT=Century Gothic][SIZE=2]
huyu bila shaka alinunua mafuta ya taa, vinginevyo itakuwa katumwa na waarabu[/SIZE][/FONT][FONT=Century Gothic],hao jamaa ni [B]wezi [/B]na km unabisha nenda na kidumu kama utapata ushirikiano[/FONT]