Ndio maana nakwambia bila Ukristo hakuna uislamu.Yesu alikuwa dini gani?
Nayapataje haya mafutaAwali yalikua yalikua yanauzwa kwa Bei ya 7K kwa Lita tano, pamoja na bei ya sasa kua mara mbili zaidi ya Bei hiyo ya awali bado yanaonekana kua na Unafuu zaidi ya bei halisi ya Mafuta mengine kwa sasa.
Uzuri wa haya mafuta bana Hayaishi kwa Haraka, pia hayagandi.
Kwa sasa wanaucheza mwingi sana kutokana na hali halisi ya Ugumu wa Bei ya mafuta ya kupikia ilivyo kwa Sasa.
Tena Sanaaa!Awali yalikua yalikua yanauzwa kwa Bei ya 7K kwa Lita tano, pamoja na bei ya sasa kua mara mbili zaidi ya Bei hiyo ya awali bado yanaonekana kua na Unafuu zaidi ya bei halisi ya Mafuta mengine kwa sasa.
Uzuri wa haya mafuta bana Hayaishi kwa Haraka, pia hayagandi.
Kwa sasa wanaucheza mwingi sana kutokana na hali halisi ya Ugumu wa Bei ya mafuta ya kupikia ilivyo kwa Sasa.
Babu yangu amefariki na 100+ na alikuwa anakula Nguruwe.......hizi imani za watu zinawatesa sanaIsome sayansi inasemaje kuhusu kula nguruwe. Mwisho wa siku, sisi tunakukumbusha tu. Wewe ndiye mwenye uamuzi wa nini kula, hata ukila najisi au mavi ni uamuzi wako tu. Soma hii "article" kama Kingereza kinapanda...
Why is pork bad for you -- a look at what the science says
The cons outweigh the pros here.www.zmescience.com
Kwa maneno yangu?
Ndio maana nakwambia bila Ukristo hakuna uislamu.
Afadhali niende motoni kwa sababu ya kula kitimoto na beer kuliko kwenda motoni kwa kumchukia binadamu mwenzangu au kumbagua binadamu mwenzangu kwa sababu ya imani yake.Kweli kabisa, ndani ya Biblia washaambiwa nguruwe ni najisi, wao wanasema najisi ni chakula! Khaa!
Inaonesha hata maana ya najisi ni nini hawaielewi. Ngoja tuwape darsa dogo la najisi ni nini...
NAJISI
Najisi ni uchafu unaohusiana na vitu vifuatavyo:
1. Damu.
2. Usaha.
3. Matapishi.
4. Udenda.
5. Haja ndogo na kubwa ya binaadamu au mnyama.
6.Pombe za aina zote.
7.Mzoga wowote isipokuwa wa binaadamu, samaki na nzige (au jamii ya nzige).
8.Kiungo cha mnyama kilichokatwa naye yu ngali hai
9.Maziwa ya mnyama asiye halali kuliwa kama vile paka, punda wa nyumbani, farasi, n.k.
10.Mbwa na Nguruwe na kila kinachotokana nao.
Shida ipo hapa kwamba Mungu aliumba najisi ambayo ni tamu kuliko ambavyo siyo najisi.Biblia inasema nguruwe ni najisi, au huelewi kusoma au huelewi maana ya najisi? Siyo kukutia unajisi, ni najisi. Usicheze na maneno kijana.
Allah kasema " Nyie(Waislam)Mnawapenda wasiokuwa waislam ila wao hawakupendeni,Hivyo hiyo kauli yako wala haistui.Ramadan inaanza chamgankieni mafuta mapema nguruwe wanaanza kuadimika maana wateja wakubwa watakuwa kwenye mfungo
Mkuu huwa nasoma tangu mwanzo,usidhani nimeandika kitu nisichokijua, ndiomaana nimeomba maandiko ya kigiriki(agano jipya) yalipoonyesha wakristo hawaruhusiwi kula vyakula fulani au kutumia kileo,lete andiko linalokataza usitumie maneno hewa wakati Mimi nimespecify maandiko
Usikariri kuwa wakristo wote ni walokole
Tatizo lako huelewi tofauti ya uyahudi na ukristo,usizani Kila kilichoandikwa kwenye Biblia especially maandiko ya kiebrania(agano la kale) yote yanawahusu wakristo, ndiomaana kuna Israeli la kimwili na taifa la Israeli la kiroho.Yani hizo reference zote unazotoa walipewa waisraeli kama nchi au wayahudi na sio wakristo,sheria za Musa na Kumbukumbu la torati ilikuwa ni kipindi Cha Israeli,unapotaka kiufahamu ukristo ni lazima uilewe vizuri injili,sio wewe tu mkuu hata mafarisayo na masadukayo walikuwa wanamtuhumu Yesu kuwa anaenda kinyume na sheria za Musa na Kumbukumbu la torati kwasababu ya kutokuelewa Kwa kina kusudi la Mungu na njia anayoitumia muda hususa.Kweli kabisa, ndani ya Biblia washaambiwa nguruwe ni najisi, wao wanasema najisi ni chakula! Khaa!
Inaonesha hata maana ya najisi ni nini hawaielewi. Ngoja tuwape darsa dogo la najisi ni nini...
NAJISI
Najisi ni uchafu unaohusiana na vitu vifuatavyo:
1. Damu.
2. Usaha.
3. Matapishi.
4. Udenda.
5. Haja ndogo na kubwa ya binaadamu au mnyama.
6.Pombe za aina zote.
7.Mzoga wowote isipokuwa wa binaadamu, samaki na nzige (au jamii ya nzige).
8.Kiungo cha mnyama kilichokatwa naye yu ngali hai
9.Maziwa ya mnyama asiye halali kuliwa kama vile paka, punda wa nyumbani, farasi, n.k.
10.Mbwa na Nguruwe na kila kinachotokana nao.
Yesu hakuwa na dini,alipokuwa duniani dini zote zilikuwa zinafundisha uwongo katika baadhi ya Mambo ndio sababu alianzisha ukristo kutokana na maagizo ya Mungu,ndio sababu alikuwa anawaambia watu yeye NDIYE njia,kweli na uzima na hakuna anayeenda Kwa Baba bila kupitia kwake(Yohana14:6),,elewa vizuri huo mstari,uhusiano wa Mungu na wanadamu tangu Yesu alipobatizwa unategemea kweli anazofundisha Yesu na kuzitii(Yohana3:17) na hautegemei hizo sheria za Musa au Kumbukumbu la torati,,halafu mkuu usijidai unajua ukristo kuliko wakristo wenyeweYesu alikuwa dini gani?
Yesu anasema hakuja kuitengua torati, sasa nikuamini wewe au nimuamini Yesu?Tatizo lako huelewi tofauti ya uyahudi na ukristo,usizani Kila kilichoandikwa kwenye Biblia especially maandiko ya kiebrania(agano la kale) yote yanawahusu wakristo, ndiomaana kuna Israeli la kimwili na taifa la Israeli la kiroho.Yani hizo reference zote unazotoa walipewa waisraeli kama nchi au wayahudi na sio wakristo,sheria za Musa na Kumbukumbu la torati ilikuwa ni kipindi Cha Israeli,unapotaka kiufahamu ukristo ni lazima uilewe vizuri injili,sio wewe tu mkuu hata mafarisayo na masadukayo walikuwa wanamtuhumu Yesu kuwa anaenda kinyume na sheria za Musa na Kumbukumbu la torati kwasababu ya kutokuelewa Kwa kina kusudi la Mungu na njia anayoitumia muda hususa.
Tatizo lako hujui tofauti ya kutengua na kutimiza,Yesu alikuja KUTIMIZA,na neno timiza linatokana na neno TIMIA,so mda wa kuwaongoza watu chini ya sheria ya Musa ulikuwa umeishatimia au umeisha,so Mungu alianza kuwaongoza watu Kwa msingi wa mafundisho ya Yesu Kristo,ndio sababu mafarisayo na masadukayo walikuwa wanamuhukumu kuwa anavunja sheria za manabii pasipokujua ,naomba andiko moja tu linalomnukuu Yesu akikataza vyakula fulani au kileoYesu anasema hakuja kuitengua torati, sasa nikuamini wewe au nimuamini Yesu?
Kimbembe chake ushaanza kukiona hapahapa duniani.Shida ipo hapa kwamba Mungu aliumba najisi ambayo ni tamu kuliko ambavyo siyo najisi.
Wacha twende motoni tukiwa na furaha ya kuwa tumefaidi kitimoto
Endelea tu. Ndiyo maana mnanuka kama nguruwe, sasa kwanini ytusiwabague, hata ukinipitia karibu yangu nafunga pua, kwa najisi hiyo. Mnhhhhh.Afadhali niende motoni kwa sababu ya kula kitimoto na beer kuliko kwenda motoni kwa kumchukia binadamu mwenzangu au kumbagua binadamu mwenzangu kwa sababu ya imani yake.
By the way; kitimoto na beer bariiidi ni tamu sana
Ndiyo maana kaleta kizazi kama chako cha kinguruwe nguruwe hata kwenye fikra zako.Babu yangu amefariki na 100+ na alikuwa anakula Nguruwe.......hizi imani za watu zinawatesa sana