Mafuta ya nazi yanauzwa

Mafuta ya nazi yanauzwa

Ntakutafuta Nna mchongo mzuri Wa Mafuta hayo huko uganda kuna jamaa wanayataka kwa wingi sana.....kikubwa uwe na uhakika na bidhaa hivyooo mkuu

Ova
Natanguliza shukran zangu kwako! Ahsante. Mafuta ni ya uhakika!
 
Mkuu kama inawezekana ni PM namba yake nayahitaji sana
  1. KWA ANAYETAKA MAFUTA YA NAZI ASILIA, (PURE) YANAPATIKANA KWA BEI YA TSH. 20,000/ KWA LITA MOJA- DSM.
  2. PIGA SIMU NAMBA 0757128291.
  3. UNAWEZA KUTUMIA KWA MATUMIZI YOTE KUJIPAKA, KUCHUA HATA KUPIKIA.
 
Back
Top Bottom