Mafuta ya nazi yanauzwa

Mafuta ya nazi yanauzwa

roxna

Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
66
Reaction score
64
Ninauza mafuta ya nazi yanii pure coconut oil yaliyokamuliwa na machine (colourless kama maji yalivyo ila mazito) kuanzia lita moja kwa sh9000 napatikana Dar karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu Humu hawako serious mna post matangazo namba za simu hewa pia

OvA
 
Nahisi hayo mafuta siyo OG...maana mafuta ya nazi OG unapikia bila chenga...
Bt ye kasema huwezi pikia maana yake kuna vitu anaongeza hasa chemically.......
 
  1. KWA ANAYETAKA MAFUTA YA NAZI ASILIA, (PURE) YANAPATIKANA KWA BEI YA TSH. 20,000/ KWA LITA MOJA- DSM.
  2. PIGA SIMU NAMBA 0757128291.
  3. UNAWEZA KUTUMIA KWA MATUMIZI YOTE KUJIPAKA, KUCHUA HATA KUPIKIA.
 
  1. KWA ANAYETAKA MAFUTA YA NAZI ASILIA, (PURE) YANAPATIKANA KWA BEI YA TSH. 20,000/ KWA LITA MOJA- DSM.
  2. PIGA SIMU NAMBA 0757128291.
  3. UNAWEZA KUTUMIA KWA MATUMIZI YOTE KUJIPAKA, KUCHUA HATA KUPIKIA.
Ntakutafuta Nna mchongo mzuri Wa Mafuta hayo huko uganda kuna jamaa wanayataka kwa wingi sana.....kikubwa uwe na uhakika na bidhaa hivyooo mkuu

Ova
 
Back
Top Bottom