Hapa aweke sawa swali lake ili nimpe majibu.Mise au mbosa!
Duh, sijawahi sikia hili zao.
Ngoja wajuzi waje.
Mise ni kile kiini cha ndani cha chikichi kinachofanana na nazi. Kikikamuliwa hutoa mafuta safi ya kula. Kwahiyo, chikichi ina mafuta ya aina mbili yale yanayotokana na ganda la nje yaani mawese na yale ya kiini.Mise au mbosa!
Duh, sijawahi sikia hili zao.
Ngoja wajuzi waje.