SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,063
- 1,136
Habari wakuu , natumaini tunaendelea vyema na majukumu ya kila siku .
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu ,nina shida ya nywele zangu kuwa na uweusi wenye rangi ya ugolo kwa mbali. Nywele hazina uweusi mzuri, napata shida kidogo kwenye suala zima la utanashati .
Kwa sasa natumia mafuta ya nywele aina ya MOVIT.
Naomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia kwa aina ya mafuta au dawa ya nywele nitashukuru ili nifurahie utanashati.
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu ,nina shida ya nywele zangu kuwa na uweusi wenye rangi ya ugolo kwa mbali. Nywele hazina uweusi mzuri, napata shida kidogo kwenye suala zima la utanashati .
Kwa sasa natumia mafuta ya nywele aina ya MOVIT.
Naomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia kwa aina ya mafuta au dawa ya nywele nitashukuru ili nifurahie utanashati.