MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,760
- 48,407
- Thread starter
- #41
waache wakule sio?? ndiyo hiyo mikataba ya miaka 100
Mikataba utaliwa ukiwa zuzu usiyejua namna ya majadiliano, ukiwa mtu wa ze ze ze yes yes, unapewa limkataba kurasa 1,000 unatia saini ndio unaishia kuwa na bomba linapitisha gesi huku mkiambwa sio yenu, bora hata mngekuza mihogo huko Mtwara na maisha yaende. Pia bila kuwa na watu makini wataalam wakushauri na uwe mtu wa kuskliza watu kwenye taaluma zao na kuwaheshimu ndio utaishia kufanya kama alivyofanya mwenda zake, kavuruga makinikia akisema kila Mtanzania atapata Noah, hatimaye baada ya hayo mavurugu hamna lolote jipya, mpo pale pale.
Sisi ni manyang'au, tunabanana nao kwenye vitabu, ila hatutafanya ujinga wa kutunisha misuli kijeshi kama wengine ambao waliishia kundondokea pua.