henry normal
Senior Member
- Jun 13, 2015
- 120
- 31
Kwema wandugu naomba nifahamu ivi ni mafuta au lotion gani zuri kwa matumizi ya mwanaume
Hii sasa ni fedheha.....
Watakao nielewa watakuja kusema
Toba......
Imenilazimu nikuelewe kabla sijamwelewa mtaka LOTION Mkuu
Hii sasa ni fedheha.....
Watakao nielewa watakuja kusema
ahaha ndo mafuta gani hayo?mpakwa mafuta
Au maweseSamli