Mafuta bei juu tatizo liko wapi??

Mafuta bei juu tatizo liko wapi??

Nyie watu munaishi wapi? Mi niko Tabata nilipoona hizi comment zenu ilibidi nipite dukani kwanza kabla sijacomment kitu nimekuta Mkate 1000...! sasa nyie munaishi wapi?
Huo mkate wa tarehe ngapi? Mkate umepanda bei babu
 
Mpwapwa Gairo na Kibaigwa, Mafuta yamesimama 2475
 
Nyie watu munaishi wapi? Mi niko Tabata nilipoona hizi comment zenu ilibidi nipite dukani kwanza kabla sijacomment kitu nimekuta Mkate 1000...! sasa nyie munaishi wapi?
Hata Boflo ni mkate pia, hatuwezi kukubishia.

Mimi mkate nanunuwa shilling 2500/=
 
Bila kupepesa macho hapa tukiri tuu kuwa namba inasomeka kisawasawa.

Kuanzia dec 05 bei zimebadilika ambapo bei ya chini ambayo ni mkoani dar kwa petrol ni 2436 kwa lita. huku diesel ikiwa 2436 kwa lita, bei hii kama kawaida yake hupanda kulingana na umbali ambapo hadi tabora bei ni 2591 kwa lita na hapo hatujafika kigoma hadi bukoba wala maeneo mengine ya mbali.

Wakuu wembe ni Ule ule na namba ni zile zile lazima tuzisome.View attachment 958031
wacha wananchi tuchangie gharama ununuzi wa Korosho kwanza... !!
 
Back
Top Bottom