Mafuriko ya wachaga moshi...baba jesca shikamoo

Mafuriko ya wachaga moshi...baba jesca shikamoo

Waswahili wa pwani ni watu wa ajabu sana.

Wao ni singeli,fitina, vigodoro na vijembe tu...sio Baba, sio mama sio watoto.

Waarabu waliowaachia minazi waswahili waliwaharibu sana.

Ni bora kupatner na mhadzabe kuliko na waswahili.
una uhakika aliyeleta hoja ni mpwani pwani?hawezu kuwa mchattle chattle au mdodomiya?
Shemeji zangu acheni hizo bwana nitampa kibuti dada yenu!
 
una uhakika aliyeleta hoja ni mpwani pwani?hawezu kuwa mchattle chattle au mdodomiya?
Shemeji zangu acheni hizo bwana nitampa kibuti dada yenu!
Kwani ni wapi nimemuongelea au kumtaja aliyeleta hoja?
 
Mwaka imeshuhudiwa idadi kubwa ya wachaga wamerudisha mpira kwa kipa yaani wamerudi kwao
Inadaiwa kuwa zile zama zao za kuishi kama wafalme kutikiswa hivyo kuamua kurudi kwao kujipanga upya kwa namna mbali wenye kutambika ,wenye kushtaki kwa vibibi wenye kupanga mikakati kabambe juu ya 2020 woote wamerundikana
Yesuu na maria huyu bwana atatuo vibyongo (madili tupa kule)

Wanafanya hivyo kila mwaka wewe ngariba
 
Mwaka imeshuhudiwa idadi kubwa ya wachaga wamerudisha mpira kwa kipa yaani wamerudi kwao
Inadaiwa kuwa zile zama zao za kuishi kama wafalme kutikiswa hivyo kuamua kurudi kwao kujipanga upya kwa namna mbali wenye kutambika ,wenye kushtaki kwa vibibi wenye kupanga mikakati kabambe juu ya 2020 woote wamerundikana
Yesuu na maria huyu bwana atatuo vibyongo (madili tupa kule)
Epuka kuongozwa kwa hisia au ushabiki.Kwani ni mara ya kwanza mwaka huu wachaga kurudi makwao kula sikukuu?Magufuli amehusika nini au kuchangia nini wachaga kwenda kwao tena kwa hiyari yao?Unajivua udadisi,umakini,werevu,hekima na kijishushia heshima kulazimisha vitu viwe vile unavyoongozwa na hisia hasi.
 
ea13b755b7cd21c3405e4ad547b5cd42.jpg

Hamna chuma kilichokaza Moshi, club hizo saa 5 kuko full
 
Mwaka imeshuhudiwa idadi kubwa ya wachaga wamerudisha mpira kwa kipa yaani wamerudi kwao
Inadaiwa kuwa zile zama zao za kuishi kama wafalme kutikiswa hivyo kuamua kurudi kwao kujipanga upya kwa namna mbali wenye kutambika ,wenye kushtaki kwa vibibi wenye kupanga mikakati kabambe juu ya 2020 woote wamerundikana
Yesuu na maria huyu bwana atatuo vibyongo (madili tupa kule)
Kwani Wachaga si ni kila mwaka? Wewe na baba jesca ndo mnaoumia. Vyuma vingekuwa vimekaza ungeuona huo msururu wa magari? Wanawaonesha kuwa vyuma hajikaza kwao. Mtaumia sana na wivu wenu wa kipumbavu.
 
Mwaka imeshuhudiwa idadi kubwa ya wachaga wamerudisha mpira kwa kipa yaani wamerudi kwao
Inadaiwa kuwa zile zama zao za kuishi kama wafalme kutikiswa hivyo kuamua kurudi kwao kujipanga upya kwa namna mbali wenye kutambika ,wenye kushtaki kwa vibibi wenye kupanga mikakati kabambe juu ya 2020 woote wamerundikana
Yesuu na maria huyu bwana atatuo vibyongo (madili tupa kule)
ndio pale maskin anapo taman kila MTU awe maskin kama yeye
 
Epuka kuongozwa kwa hisia au ushabiki.Kwani ni mara ya kwanza mwaka huu wachaga kurudi makwao kula sikukuu?Magufuli amehusika nini au kuchangia nini wachaga kwenda kwao tena kwa hiyari yao?Unajivua udadisi,umakini,werevu,hekima na kijishushia heshima kulazimisha vitu viwe vile unavyoongozwa na hisia hasi.
Wachaga tumeweweza sio kwa mapovu haya
 
dah, inawezekana kweli, maana wanaendaga kila mwaka ila mwaka huu ndioimekuwa zaidi, ujue nyumbani ndio sehemu pekee ya kupata faraja baada ya misukosuko mingi mjini

Sema sisi wa huku Moshi vijijini tunafurahikwa sababu wakija wanaongeza mzunguko wa fedha na kuleta faraja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom