Niko hapa Moshi stendi, ni fujo tupu. Abiria ni wengi balaa! gari hakuna, December ilikuwa ni taabu pale Ubungo stendi, January balaa limehamia huku. Ninyi wachaga mtaacha lini tabia yenu hii iliyopitwa na wakati?? Maana mnatutaabisha na wengine tusiohusika na ma-mitambiko yenu ya kila mwisho wa mwaka.
Badilikeni bhana mkijua hii ni karne ya 21.
Akili yako ndogo sana! Umelelewa na kanisa nini?Niko hapa Moshi stendi, ni fujo tupu. Abiria ni wengi balaa! gari hakuna, December ilikuwa ni taabu pale Ubungo stendi, January balaa limehamia huku. Ninyi wachaga mtaacha lini tabia yenu hii iliyopitwa na wakati?? Maana mnatutaabisha na wengine tusiohusika na ma-mitambiko yenu ya kila mwisho wa mwaka.
Badilikeni bhana mkijua hii ni karne ya 21.
Usimlaumu mkuu huenda ni house boy kwa mtu sio mwenyeji wa huko ndo maana anaropoka anachojisikiaushamba ni ww kuwepo hapo Moshi kwa huo wakati at least katoe salam kijijini kwenu
Mkuu ww ni fukara wa akili moja kwa moja siku ingine usirudie tena kuandika hivi..Niko hapa Moshi stendi, ni fujo tupu. Abiria ni wengi balaa! gari hakuna, December ilikuwa ni taabu pale Ubungo stendi, January balaa limehamia huku. Ninyi wachaga mtaacha lini tabia yenu hii iliyopitwa na wakati?? Maana mnatutaabisha na wengine tusiohusika na ma-mitambiko yenu ya kila mwisho wa mwaka.
Badilikeni bhana mkijua hii ni karne ya 21.
Huyo mwongo mbona kila stendi nipo sijamwonaUko hapa stand kwa wapi Mkuu nikusabahi kidogo tupate mtori pamoja!
wewe ndio mshamba mbwa wewe waache watu wajinafasi mbona makabila kibao hurudi kwao kipindi cha christmas mi sio mchaga ila nimekuona kama nyumbu fulani hivi kama hujui krismas dunia nzima wengi sana hurudi makwao kusherekea hata wazungu chunguza wachina nk acha hizo sio wachaga tu kwanza kuna raha yake ambayo huwezi kuijua futa uzi huu umeonekana ng'ombe fulani hiviNiko hapa Moshi stendi, ni fujo tupu. Abiria ni wengi balaa! gari hakuna, December ilikuwa ni taabu pale Ubungo stendi, January balaa limehamia huku. Ninyi wachaga mtaacha lini tabia yenu hii iliyopitwa na wakati?? Maana mnatutaabisha na wengine tusiohusika na ma-mitambiko yenu ya kila mwisho wa mwaka.
Badilikeni bhana mkijua hii ni karne ya 21.
hilo jitu shamba kinoma lizubavu fulani hivi watu wanarudi kwao kusherekea eti ushamba hilo naona naona linatokea kolomije shamba fulani hiviushamba ni ww kuwepo hapo Moshi kwa huo wakati at least katoe salam kijijini kwenu
Ndio nimelelewa na Kanisa, na sasa ninasubiri kumlaki Bwana Yesu mawinguni nikapumzike naye milele.Akili yako ndogo sana! Umelelewa na kanisa nini?