Mafuriko kuelekea Zanzibar kesho J3

Mafuriko kuelekea Zanzibar kesho J3

Comrade.
Nafuatilia wengi wanaopost na ku_comment kwenye post za EL na JM naona ni recruiter wa jf yaani ni wachache wenye 200post counts.

So napata picha kama wamejiunga kwa sababu fulani hivi mh!!
TODAYS baada ya October hutawaona tena na most likely hawatakaa warudi JF labda tu mambo yakienda mrama
 
Last edited by a moderator:
haa haa lowasa anapendwa mpaka raha. waliopo zanzibar msisite kutujuza...
 
Back
Top Bottom