Mafuriko Dar wa Salaam City Centre 29.04.2021

mkoloni mpaka anaondoka aliache miundo mbinu mizuri kabisa, mji ulikuwa na sewage system nzuri kabisa, maji yalikuwa yanaenda baharini vizuri kabisa....kilichotakiwa kutoka kwetu ni good maintenance and repair + improving systems vs population increase...

tulipoanza kuujenga mji wenyewe tumepuyanga kila mahala, tumeshindwa kujenga kwa kuangalia kesho yetu kitalaam kwa maana ya mifumo ya kupeleka maji baharini, controlling ya ukuaji wa miji, namna bora ya uvunaji maji ya mvua kwa ajili ya matumizi, nk... hali inatuvua nguo kabisa na kuonyesha namna vichwa vyetu vilivyo...
Dar imeishafikia ukomo wake, gharama za kurekebisha miundombinu iliyoachwa na mkoloni ingetosha kujenga mji mwingine wa kisasa. Hata hiyo miundombinu aliyojenga mkoloni, ilikuwa zahama tupu, maana vinyesi vyote vya jiji vilielekezwa baharini.

Mwaka 1982 nilipata kutembelea ufukwe wa hapo Magogoni, eneo lote la fukwe pale linapoingilia bomba kubwa la majitaka lilitapakaa vinyesi ... Sidhani kama kuna mabadiliko sasa maana hakuingiliki siku hizi.
 
Dar imeishafikia ukomo wake, gharama za kurekebisha miundombinu iliyoachwa na mkoloni ingetosha kujenga mji mwingine wa kisasa. Hata hiyo miundombinu aliyojenga mkoloni, ilikuwa zahama tupu, maana vinyesi vyote vya jiji vilielekezwa baharini.

Mwaka 1982 nilipata kutembelea ufukwe wa hapo Magogoni, eneo lote la fukwe pale linapoingilia bomba kubwa la majitaka lilitapakaa vinyesi ... Sidhani kama kuna mabadiliko sasa maana hakuingiliki siku hizi.
Hukutapika?
 
Dar imeishafikia ukomo wake, gharama za kurekebisha miundombinu iliyoachwa na mkoloni ingetosha kujenga mji mwingine wa kisasa. Hata hiyo miundombinu aliyojenga mkoloni, ilikuwa zahama tupu, maana vinyesi vyote vya jiji vilielekezwa baharini.

Mwaka 1982 nilipata kutembelea ufukwe wa hapo Magogoni, eneo lote la fukwe pale linapoingilia bomba kubwa la majitaka lilitapakaa vinyesi ... Sidhani kama kuna mabadiliko sasa maana hakuingiliki siku hizi.
Tatizo la Dar wapinzani wamechelewesha sana maendeleo 🤪😃
 
mkoloni mpaka anaondoka aliache miundo mbinu mizuri kabisa, mji ulikuwa na sewage system nzuri kabisa, maji yalikuwa yanaenda baharini vizuri kabisa....kilichotakiwa kutoka kwetu ni good maintenance and repair + improving systems vs population increase...

tulipoanza kuujenga mji wenyewe tumepuyanga kila mahala, tumeshindwa kujenga kwa kuangalia kesho yetu kitalaam kwa maana ya mifumo ya kupeleka maji baharini, controlling ya ukuaji wa miji, namna bora ya uvunaji maji ya mvua kwa ajili ya matumizi, nk... hali inatuvua nguo kabisa na kuonyesha namna vichwa vyetu vilivyo...

Hakika, Dar Es Salaam ingekuwa chini ya mkoloni hadi 2000s basi jiji lingekua kama Jo'Berg ya SA.
 
Hakika, Dar Es Salaam ingekuwa chini ya mkoloni hadi 2000s basi jiji lingekua kama Jo'Berg ya SA.
Joburg yenyewe imegeuka mavi matupu. Miafrika tuna shida sana, that City inafananishwa na Los Angeles lakini ndio waafrika wameigeuza mavi matupu. Ile Johannesburg Park Station mpaka kule maeneo ya wadangaji Hillbrow kumegeuka shida tupu. Magorofa yote wamejaa wahuni watupu pachafu overcrowded.
 
Back
Top Bottom