Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,889
Sasa ingekuja JOBO SI tungetafutana hapo
Mungu alituona akatusaidia
Sasa ingekuja JOBO SI tungetafutana hapo
Dar imeishafikia ukomo wake, gharama za kurekebisha miundombinu iliyoachwa na mkoloni ingetosha kujenga mji mwingine wa kisasa. Hata hiyo miundombinu aliyojenga mkoloni, ilikuwa zahama tupu, maana vinyesi vyote vya jiji vilielekezwa baharini.mkoloni mpaka anaondoka aliache miundo mbinu mizuri kabisa, mji ulikuwa na sewage system nzuri kabisa, maji yalikuwa yanaenda baharini vizuri kabisa....kilichotakiwa kutoka kwetu ni good maintenance and repair + improving systems vs population increase...
tulipoanza kuujenga mji wenyewe tumepuyanga kila mahala, tumeshindwa kujenga kwa kuangalia kesho yetu kitalaam kwa maana ya mifumo ya kupeleka maji baharini, controlling ya ukuaji wa miji, namna bora ya uvunaji maji ya mvua kwa ajili ya matumizi, nk... hali inatuvua nguo kabisa na kuonyesha namna vichwa vyetu vilivyo...
Hukutapika?Dar imeishafikia ukomo wake, gharama za kurekebisha miundombinu iliyoachwa na mkoloni ingetosha kujenga mji mwingine wa kisasa. Hata hiyo miundombinu aliyojenga mkoloni, ilikuwa zahama tupu, maana vinyesi vyote vya jiji vilielekezwa baharini.
Mwaka 1982 nilipata kutembelea ufukwe wa hapo Magogoni, eneo lote la fukwe pale linapoingilia bomba kubwa la majitaka lilitapakaa vinyesi ... Sidhani kama kuna mabadiliko sasa maana hakuingiliki siku hizi.
Wapinzani wanachelewesha🤪Kwanini Mipango ya marekebisho haifanyiki?
Tatizo la Dar wapinzani wamechelewesha sana maendeleo 🤪😃Dar imeishafikia ukomo wake, gharama za kurekebisha miundombinu iliyoachwa na mkoloni ingetosha kujenga mji mwingine wa kisasa. Hata hiyo miundombinu aliyojenga mkoloni, ilikuwa zahama tupu, maana vinyesi vyote vya jiji vilielekezwa baharini.
Mwaka 1982 nilipata kutembelea ufukwe wa hapo Magogoni, eneo lote la fukwe pale linapoingilia bomba kubwa la majitaka lilitapakaa vinyesi ... Sidhani kama kuna mabadiliko sasa maana hakuingiliki siku hizi.
Wenyewe watakuambia marehemu ameituma inabariki kikao cha kesho huko Dodoma 😃Hii mvua umetumia na mabeberu kuharibu legacy.
Kigoma kuna kero gani?Dar kama kwetu kigoma yaani kero tupu
mkoloni mpaka anaondoka aliache miundo mbinu mizuri kabisa, mji ulikuwa na sewage system nzuri kabisa, maji yalikuwa yanaenda baharini vizuri kabisa....kilichotakiwa kutoka kwetu ni good maintenance and repair + improving systems vs population increase...
tulipoanza kuujenga mji wenyewe tumepuyanga kila mahala, tumeshindwa kujenga kwa kuangalia kesho yetu kitalaam kwa maana ya mifumo ya kupeleka maji baharini, controlling ya ukuaji wa miji, namna bora ya uvunaji maji ya mvua kwa ajili ya matumizi, nk... hali inatuvua nguo kabisa na kuonyesha namna vichwa vyetu vilivyo...
Joburg yenyewe imegeuka mavi matupu. Miafrika tuna shida sana, that City inafananishwa na Los Angeles lakini ndio waafrika wameigeuza mavi matupu. Ile Johannesburg Park Station mpaka kule maeneo ya wadangaji Hillbrow kumegeuka shida tupu. Magorofa yote wamejaa wahuni watupu pachafu overcrowded.Hakika, Dar Es Salaam ingekuwa chini ya mkoloni hadi 2000s basi jiji lingekua kama Jo'Berg ya SA.
Mie nilijua Bujibuji yuko kwenye mtumbwi hio kasi ha ha ha.Mchukua Video kapanda Boti gani au Meli nini,maana sio kwa namna chombo inavyokata mawimbi
Unatembea kwa miguu?Hapo Mkwajuni magari kibao yamezima muda huu
Naona Ford imetaga hapoTetesi gani tena jamani? Hujaiona hii ya@Bujibuji
View attachment 1768159
Legacy aliyoweka mwendazake pale Jangwani inatosha. Ni yeye aliye approve karakana ya mabasi ya mwendokasi ijengwe pale yeye akiwa waziri wa miundombinu, huku akijua wazi kuwa lile ni eneo hatarishi.Hii mvua imetumwa na mabeberu kuharibu legacy.
Radi tu za hapa na pale, wakati mwingine radi zinatokea hata kwenye makopo ya chooni, ili mradi tu Kuna maji kidogo watu wanakufanyiziaKigoma kuna kero gani?
Wakati wa jua Vumbi.Kigoma kuna kero gani?
Hahahahahahahaa jamani spare my ribsHii mvua imetumwa na mabeberu kuharibu legacy.
Sasa ingekuja JOBO SI tungetafutana hapo
Umekutana nae wapi MkuuJana nimemuona mwanae jobo.
Anatishaaa