mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,265
- 44,769
Ununio kule beach.
Umekutana nae wapi Mkuu
Umekutana nae wapi Mkuu
Mkuu hako kajukuu ka jobo tu unalalamika je angekuja JOBO mwenyewe ingekuwaje?Bora leo kajua
Jana hii mvua imeniharibia mnoo
Ulikuwepo?mkoloni mpaka anaondoka aliache miundo mbinu mizuri kabisa, mji ulikuwa na sewage system nzuri kabisa, maji yalikuwa yanaenda baharini vizuri kabisa....kilichotakiwa kutoka kwetu ni good maintenance and repair + improving systems vs population increase...
tulipoanza kuujenga mji wenyewe tumepuyanga kila mahala, tumeshindwa kujenga kwa kuangalia kesho yetu kitalaam kwa maana ya mifumo ya kupeleka maji baharini, controlling ya ukuaji wa miji, namna bora ya uvunaji maji ya mvua kwa ajili ya matumizi, nk... hali inatuvua nguo kabisa na kuonyesha namna vichwa vyetu vilivyo...
Ulikuwepo?
Mkoloni kaondoka 1961 akiiacha Dar ikiitwa mzizima, watu hawafiki hata elfu 50.
Maeneo mengi ni mapori tu yalikuwa.
Haya maandishi yako ni uchochezi tu
Hata mie..Msaada wakuuMsaada wanajamvi mie kila nikifungua attachments inanigomea why!? Inagoma inanirudisha kwenye forums!! Msaada kwa anaejua natumia App.
Ishaanza tenaBora leo kajua
Jana hii mvua imeniharibia mnoo
No anga jeupe hamna kitu leoIshaanza tena
Makao makuu yetu ya ufipa yamepona?Hali ilivyokuwa Leo jioni baada ya mvua kunyesha kwa masaa kadhaa.
View attachment 1767973Asante Mungu kimbunga Jobo hakikupiga DAR ES SALAAM, pangechimbika
😂😂😂😂😂Madalali na wenye viwanja wamezima simu zao
Sasa mambo yenu Mazezeta ntayajulia wapi?Makao makuu yetu ya ufipa yamepona?
Sasa mbona unakasirika?Sasa mambo yenu Mazezeta ntayajulia wapi?
CHAMA CHA Mazezeta
😂😂😂😂 Bujibuji katika Ubora wakoSasa mambo yenu Mazezeta ntayajulia wapi?
CHAMA CHA Mazezeta
Hajarudi tena😂😂😂😂 Bujibuji katika Ubora wako
Yaani nikasirishwe na mgonjwa?Sasa mbona unakasirika?
Acha kujibaraguza.Yaani nikasirishwe na mgonjwa?