Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Katika kilele cha maadhimisho ya miaka hamsini ya uhuru tarehe 9 December mwaka huu tuliona vikosi vya jeshi la majini vikipita kwa bashasha na mbwembwe nyingi mbele ya Rais kitu kilichotupa moyo kuwa maisha yetu yapo salama. Sasa yametokea mafuriko Jijini Dar es salaam mbona hatuvioni vikosi vile kwenda kuokoa watanzania wanaoangamia kwenye hili janga?